Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Ninakumbuka wakati wa G8 summit, mume wa Angela Marckle alijikuta akiongozana na wake wa Marais katika kutembela shughuli za kijamii wakati mke wake akiwa kwenye vikao.
Mzee ni mtu muhimu sana katika nchi yetu na afahamu hii nafasi aliyonayo ina changamoto nyingi sana.