Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni shidaNimecheka!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni shidaNimecheka!!
Tena unamtafuna kweliMfumo dume unakutafuna, pole sana.
Haruhusiwi kupika mama mwenyew kasemaUnakuta mzee anamwambia hawezi kula chakula kilichopikwa na house girl.
[emoji28]Ila mzee mpaka apate papuchi dah atakuwa anaipata kwa nadra Sana,yan ile maliza basi nna kazi nying hahaha
Mkuu kumbuka bado tupo kwenye maombolezo,,, haturuhusiwi kucheka!! [emoji16][emoji16][emoji1373]Sio unaweza kukuta, Ndio mtanzania wa kwanza kugonga Rais
Mna maneno nyie watuMume wa mama Samia na familia yake wanajitambua!! Mmewahi kumuona mzee wa watu akijionesha hovyo hovyo kwa sababu ya wadhifa wa mkewe? Yuko vizuri.
Wewe una jifanya unawajua sana! Ukweli ni kuwa kila mtu ana maisha yakeAah hawezi kukubali ku over take lorry la mshahara.
Kama prezida ni taasisi ndo kusema huyo mwamba akimpanda mama anakua kaipanda taasisi nzima? kama ni hivyo inabidi system wampangie ratiba ya kula vitu na siku ya Kula mzigo first baba awe anapimwa asijekutumia mkongo aichoshe taasisi kesho ishindwe kufanya majukumu ya kitaifa.Sio unaweza kukuta, Ndio mtanzania wa kwanza kugonga Rais
Jamani mbona mnamwandama Mzee wa watu, sahizi ni babu msimwekee maneno mdomoniKama prezida ni taasisi ndo kusema huyo mwamba akimpanda mama anakua kaipanda taasisi nzima? kama ni hivyo inabidi system wampangie ratiba ya kula vitu na siku ya Kula mzigo first baba awe anapimwa asijekutumia mkongo aichoshe taasisi kesho ishindwe kufanya majukumu ya kitaifa.
🤣🤣🤣mie dhifa zote ntakua nakuacha kama unajitoa ufaham na mawivu wivu kama wapare🤗🤭[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yule bwana duu dakika 2 mbele nimecheka kwa sauti, wanawake huwa tunambukia sehemu mpaka mtu anajiuliza hivi mlionana usiku[emoji3]
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Nilikuwa namalizia kusoma coment nimjibu lakini hii pekee inatosha kumuonyesha jinsi gani alivyo mjingaAcha wivu kuwa na heshima. Humzidi mama kwa lolote kuanzia IQ na hata kipato. Uraisi si mali ya wanaume.
Germany ni super power bado mama ameaminika na anafanya vizuri kuliko maraisi midume mingi duniani.Unapomtukana Samia hata mama yako anakojoa akiwa amechuchumaa, mama yako akikusikia unavyomtusi lazima akulani.
Ukishajuwa unagonga rais na viuno vinaongezeka ( cherehani)Sio unaweza kukuta, Ndio mtanzania wa kwanza kugonga Rais
Yaan mapenzi ni two way trafic mkuu...utaheshimika kama na ww unamthamini mkeo/mumeo nawe atakuthamini popote pale...kifupi hapo anarudisha wema....mama anamkubali sana mumewe anamuheshimu sana mpaka raha kilaanapopata nafasi lazima amshukuru ata hotuba yake ya kwanza ya urais hakusahau kumshukuru mumewe mama kafundwa sana huyu hadi raha
Abaki tu halafu akiwa anaongea unanyamaza tu [emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mie dhifa zote ntakua nakuacha kama unajitoa ufaham na mawivu wivu kama wapare[emoji847][emoji2960]
🤣🤣🤣🤣..utaambiwa Urais umekupa kiburi🤣🤣Abaki tu halafu akiwa anaongea unanyamaza tu [emoji1][emoji1]
Mimi naomba tu Rais wetu Samia angalie hili swala la vitu kupanda na wananchi wa kipato cha chini wanashindwa kumudu gharama.
Mapenzi ya wote wawili si mmoja awe mtumwa wa mapenzi kwa mwenzie, jinsi unavyojitoa kwa mwenzio naye atakupokea hivyo hivyomama anamkubali sana mumewe anamuheshimu sana mpaka raha kilaanapopata nafasi lazima amshukuru ata hotuba yake ya kwanza ya urais hakusahau kumshukuru mumewe mama kafundwa sana huyu hadi raha sio kama hawa wengine akiwa na duka tu la vipodozi mume utakoma
Sasa nimbebe mgongoni?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..utaambiwa Urais umekupa kiburi[emoji1787][emoji1787]
Hahahhahhaahahaa....utaachika shauriro..na wanawake wa kiafrica tunaamini sana kwa ndoa ..yelewiiiSasa nimbebe mgongoni?