Mume wa Rais katika dunia ya mfumo dume

Mume wa Rais katika dunia ya mfumo dume

Kwahiyo ikitokea kitu kinahusisha wake za marais kutembelea miradi fulani inabidi na mzee awepo?
Tujifunze lugha, siyo "wake za maraisi" sema "wenza wa maraisi". Kule Luxembourg waziri mkuu wa kiume (shoga) ana mume. Hiyo picha chini huyo mwanaume ni mume wa waziri mkuu huyo na wake wa viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja.
image-65.jpg
 
Na pia awe mshauri kwa mkewe...awe ana akili kwakweli kumzidi mkewe ili mambo yabalance...hivi kwa mfano anakua ana akili kama za Chalamila!!! Mie nakufungia makabatini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ktk hii picha Wamependeza sana wazee hawa. Pia picha inaonesha mama mara nyingi ndiyo mwanzisha / mtoa hoja na mara nyingi anasikilizwa sana huku mawazo yake yanakubaliwa. Kwa kifupi ni kiongozi wa familia iliyo na demokrasia. Hivyo hata uongozi wa nchi hautampa changamoto sana kwani hutoa hoja kisha kusikilizia kama zinakubalika basi huzifanyia kazi.
 
Mume wa Rais ni mtu wa muhimu sana katika jamii, kama alivyo mke wa Rais. Katika dunia ambayo bado ni mfumo dume, mume awe tayari kukutana na changamoto katika jamii.

Ninakumbuka wakati wa G8 summit, mume wa Angela Marckle alijikuta akiongozana na wake wa Marais katika kutembela shughuli za kijamii wakati mke wake akiwa kwenye vikao.

Mzee ni mtu muhimu sana katika nchi yetu na afahamu hii nafasi aliyonayo ina changamoto nyingi sana.
Hivi mpaka mkeo anakuwa Rais we unakuwa uko wapi?
 
Kumbe yule kansela wa ujerumani ana mume,ila huyu mzee mume wa mama Samia mpaka sasa atakuwa haamini kama amekuwa rais(indirectly)

Jiwe kwa kiburi chake ndio kaifanikisha hii ndoto ya kuwa na rais anayechuchumaa wakati wa kukojoa
Kaazi kweli kweli. Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Jamaa ndo mwanaume wa kwanza Tz kumkaza Rais wa nchi
 
Back
Top Bottom