Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
This is childish and immatureJiwe kwa kiburi chake ndio kaifanikisha hii ndoto ya kuwa na rais anayechuchumaa wakati wa kukojoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This is childish and immatureJiwe kwa kiburi chake ndio kaifanikisha hii ndoto ya kuwa na rais anayechuchumaa wakati wa kukojoa
Tujifunze lugha, siyo "wake za maraisi" sema "wenza wa maraisi". Kule Luxembourg waziri mkuu wa kiume (shoga) ana mume. Hiyo picha chini huyo mwanaume ni mume wa waziri mkuu huyo na wake wa viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja.Kwahiyo ikitokea kitu kinahusisha wake za marais kutembelea miradi fulani inabidi na mzee awepo?
Umenena vyema. Huyo jamaa hana akili kabisa, ni sawa na boga na anastahili kufungiwa kabatini!Na pia awe mshauri kwa mkewe...awe ana akili kwakweli kumzidi mkewe ili mambo yabalance...hivi kwa mfano anakua ana akili kama za Chalamila!!! Mie nakufungia makabatini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na pia awe mshauri kwa mkewe...awe ana akili kwakweli kumzidi mkewe ili mambo yabalance...hivi kwa mfano anakua ana akili kama za Chalamila!!! Mie nakufungia makabatini.
Ktk hii picha Wamependeza sana wazee hawa. Pia picha inaonesha mama mara nyingi ndiyo mwanzisha / mtoa hoja na mara nyingi anasikilizwa sana huku mawazo yake yanakubaliwa. Kwa kifupi ni kiongozi wa familia iliyo na demokrasia. Hivyo hata uongozi wa nchi hautampa changamoto sana kwani hutoa hoja kisha kusikilizia kama zinakubalika basi huzifanyia kazi.
🙄🙄🙄🙄🙄Tujifunze lugha, siyo "wake za maraisi" sema "wenza wa maraisi". Kule Luxembourg waziri mkuu wa kiume (shoga) ana mume. Hiyo picha chini huyo mwanaume ni mume wa waziri mkuu huyo na wake wa viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja.View attachment 1745053
Hivi mpaka mkeo anakuwa Rais we unakuwa uko wapi?Mume wa Rais ni mtu wa muhimu sana katika jamii, kama alivyo mke wa Rais. Katika dunia ambayo bado ni mfumo dume, mume awe tayari kukutana na changamoto katika jamii.
Ninakumbuka wakati wa G8 summit, mume wa Angela Marckle alijikuta akiongozana na wake wa Marais katika kutembela shughuli za kijamii wakati mke wake akiwa kwenye vikao.
Mzee ni mtu muhimu sana katika nchi yetu na afahamu hii nafasi aliyonayo ina changamoto nyingi sana.
Huko mkuu mbali sana...mie najiulizaga hivi..Hivi mpaka mkeo anakuwa Rais we unakuwa uko wapi?
Kaazi kweli kweli. Au nasema uongo ndugu zangu?Kumbe yule kansela wa ujerumani ana mume,ila huyu mzee mume wa mama Samia mpaka sasa atakuwa haamini kama amekuwa rais(indirectly)
Jiwe kwa kiburi chake ndio kaifanikisha hii ndoto ya kuwa na rais anayechuchumaa wakati wa kukojoa
HatariiiiHuko mkuu mbali sana...mie najiulizaga hivi..
hadi mkeo anakuzidi kipato ni wapi ulipojikwaa ukaanguka??🥱🥴🥴🥴napiga miayo hapa tu mm!
Mungu atuepushe na hizi akili za mbuzi.Huyu mzee unaweza kukuta ndie Mtanzania wa kwanza kugonga Rais aliye madarakani!! JK na ujanja wake wote, kazidiwa na huyo mzee anayeonekana wa kawaida tu!
Jamani tuache hizi mambo.bora huyo huyo anayechuchumaa akikojoa kuliko hilo shetani lilokufa
Unastahili kupuuzwa!Mungu atuepushe na hizi akili za mbuzi.
Mema huwa hayakosekani, ila sasa ubaya ndiyo usambaa kwa kasi kuliko wemaYeye pia ana mema yake. Sio malaika yule
Hii ndio hulka yetu sisi wanadamuMema huwa hayakosekani, ila sasa ubaya ndiyo usambaa kwa kasi kuliko wema
Hiyo muhimuNi kweli, kabisa, mama anatoka kwenye vikao vya bajeti huko kichwa kimejaa anahitaji faraja nyumbani.