Mume wa Samia Suluhu, Hafidh Ameir, sasa kuwa Tanzania's First Gentleman

Mume wa Samia Suluhu, Hafidh Ameir, sasa kuwa Tanzania's First Gentleman

Status
Not open for further replies.

Kinyungu

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2008
Posts
19,484
Reaction score
38,416
1616059823800.png

1616059869098.png

Wote poleni kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na mtu aliyeipenda nchi yetu kwa dhati kabisa Mh. Rais John Magufuli.

Kufuatia msiba huu mzito nchi yetu inaenda kupata Rais Mwanamama Mh. Samia Hassan Suluhu kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu na vivyo hivyo nchi itapata First Gentleman ambaye ni Hafidh Ameir. Huko nyuma tulizoea kuwa na First ladies lakini sasa mambo yanaenda kubadilika.

Je, kuna yeyote mwenye wasifu wa Mh. Hafidh Ameir ambaye ni First gentleman wetu mpya. Nimeshindwa kupata wala picha au video yake.

Pia soma

- Mama Samia: Pamoja na kuwa makamu wa Rais, napiga goti kwa mume wangu

- Raia Tanzania: Mume wa Makamu wa Rais ni nani? Wa watangulizi wake wanajulikana
 
Rais atampigia goti huyu jamaaa???au ni juu kwa juuu! Vipi km Rais akichepuka na Rais mwenzake jamaa atasubiria sebuleni au inakuwaje wajameni...

Au ni marufuku Rais kuchepuka? Je huyu mumewe anaweza kuongeza mme wa pili??

Au Rais atamfunga huyo mke mwenza? Hii ni sheria ya kiislamu!! Msipinge.

Akimuacha mama anaweza kuwekwa ndani na asitoke huko.

Ila huyu jamaa kwa wanaume wa kiafrica tena bongo amepigwa pingu hasa.akifanys masihara anauawa km sokoine kuns nini hapo!!!
 
Nimewaza tu...kwa ulinzi atakaopewa ile michepuko ya chochoroni (kama first gentleman anayo) na kule uswazi huenda ikawa ngumu kuifikia

Sijui na yeye ataanzisha Saccos yake!?
Hayo hayatuhusu ila kasheshe anayo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom