sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Pensheni inamtosha tu.Kwa iyo janet anarudi shule kushika chaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pensheni inamtosha tu.Kwa iyo janet anarudi shule kushika chaki
Hakuna uchaguzi na 2025 atagombea tena! Mama mama huyooo mama mama huyo! Nani kama mamaKwahiyo Samia anakua Rais hadi 2025 au kutakuwa na uchaguzi mwingine kabla ya 2025?
Swali zuri.Hapo hamna wa kutumia jina la mwenzie? Wake za Marais wanatumia ubini wa Rais, baba yetu itakuaje?
Samia Hafidh Ameir
Hafidhi Samia Suluhu
Mama Salma Kikwete alikuwa Dini ganiSwali zuri.
Kwa sheria ya kiislamu haifai mwanamke kuliacha jina la baba yake kisha kuchukua jina la mumewe baada ya ndoa.
vipi na yeye atapewa ulinzi?
Wote poleni kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na mtu aliyeipenda nchi yetu kwa dhati kabisa Mh. Rais John Magufuli.
Kufuatia msiba huu mzito nchi yetu inaenda kupata Rais Mwanamama Mh. Samia Hassan Suluhu kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu na vivyo hivyo nchi itapata First Gentleman ambaye ni Hafidh Ameir. Huko nyuma tulizoea kuwa na First ladies lakini sasa mambo yanaenda kubadilika.
Je, kuna yeyote mwenye wasifu wa Mh. Hafidh Ameir ambaye ni First gentleman wetu mpya. Nimeshindwa kupata wala picha au video yake.
Pia soma
- Mama Samia: Pamoja na kuwa makamu wa Rais, napiga goti kwa mume wangu
- Raia Tanzania: Mume wa Makamu wa Rais ni nani? Wa watangulizi wake wanajulikana
MmhRais atampigia goti huyu jamaaa???au ni juu kwa juuu! Vipi km Rais akichepuka na Rais mwenzake jamaa atasubiria sebuleni au inakuwaje wajameni...
Au ni marufuku Rais kuchepuka? Je huyu mumewe anaweza kuongeza mme wa pili??
Au Rais atamfunga huyo mke mwenza? Hii ni sheria ya kiislamu!! Msipinge.
Akimuacha mama anaweza kuwekwa ndani na asitoke huko.
Ila huyu jamaa kwa wanaume wa kiafrica tena bongo amepigwa pingu hasa.akifanys masihara anauawa km sokoine kuns nini hapo!!!
[emoji3][emoji3][emoji28]Huyu mama aendeleze tu lile saga la tumbuatumbua
Futa kuanzia au.Kwahiyo Samia anakua Rais hadi 2025 au kutakuwa na uchaguzi mwingine kabla ya 2025?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ikimpendeza na yeye aanzishe taasisi yake aiite WABA iwe inatetea wanaume
Exactly!! Mpaka kifo chakevipi na yeye atapewa ulinzi?
Kwani hakuna waislamuMama Salma Kikwete alikuwa Dini gani
HadiKwahiyo Samia anakua Rais hadi 2025 au kutakuwa na uchaguzi mwingine kabla ya 2025?
Safi sana kwa jibu maridadiKwani hakuna waislamu
1.Wala riba
2.Wala kitimoto
3.Wazinzi
Mimi nimekuambia sheria ya kiislamu na sheria haipindishwi kwa kuwa fulani kafanya.
Kwa mujibu wa sheria za. Kiislamu! Inategemea na Uislamu wake? Je anafuata sharia je ana ijuwa dini vyemaMama Salma Kikwete alikuwa Dini gani
Ulipata jibu au nilifate pm [emoji41][emoji3166][emoji3][emoji3][emoji28]
Unapenda wenzio watumbuliwe!
Katiba haisemi hivyo. Akimaliza miaka 5 hii aliyoachiwa anaruhusiwa miaka 5 ya mhula mwingine basiKwakifupi mam samia atakuepo mjengoni for 14 years kama rais.
Anamalizia hii mi 4 ya magu.
Anagombea mi 5 yake ya kwanza
Anagombea mi 5 yake ya pili
Jamani hebu kuweni na adabu. Huyu mama na mmewe ni watu wazima na wajukuu. Kuwa na heshima kijanaRais atampigia goti huyu jamaaa???au ni juu kwa juuu! Vipi km Rais akichepuka na Rais mwenzake jamaa atasubiria sebuleni au inakuwaje wajameni...
Au ni marufuku Rais kuchepuka? Je huyu mumewe anaweza kuongeza mme wa pili??
Au Rais atamfunga huyo mke mwenza? Hii ni sheria ya kiislamu!! Msipinge.
Akimuacha mama anaweza kuwekwa ndani na asitoke huko.
Ila huyu jamaa kwa wanaume wa kiafrica tena bongo amepigwa pingu hasa.akifanys masihara anauawa km sokoine kuns nini hapo!!!
Hivi majukumu ya firstlady na first gentleman huwa ni nini??Mzee tayari sasa licha ya mshahara mnono na office yenye budget juu bado atapatiwa msafara na walinzi lukuki - kweli kufa kufaana !! Hongera zake !!