Jamani hebu kuweni na adabu. Huyu mama na mmewe ni watu wazima na wajukuu. Kuwa na heshima kijana
siyo mbaya ebu kuwa na mawazo huru Na chanya mzee.nayo sema ndivo tulivyo waafrica.
Yaani kuwana nyumba nyingi.ni kawaida kwetu. sisi siyo wazungu bana kamwe hatujikatai.
Huyo mzee bado sana. Kwetu kiafrica zaidi. Mtu anakuwa na vilembwe lkn bado anaoa wanao lingana na hao vilembweze. Na wanazaa watoto. Wenye pesa na Elimu kuliko weye!
Na hkn shida sembuse mjukuu??? wewe Wa wapi mzee daisalama nini!!
Hapo nimemkosea heshima wapi wkt ni "ke"
amekamilika!!!
Wa africa ndivo tulivyo kwa nini mnalazimisha tujikatae?????
Au unamuona kilema huyo?????!!! Enhee?? nakuuliza babu? Unajikataa sababu tu umekataliwa????
Na kaweka mambo hadharani kuonyesha ukamilifu wake ili tujadili. Wewe unatufunga funga!!! acha wivu wa kinaniii...weweee!!! Km huna ni wewe!!tuache tufanye yetu!
Babu bado analipa huyo jadili kwa uhuru itakuwaje kwa mlinzi "ke" wa Rais? Na mlinzi lazima atakuwa mdada anae jua judo.
wacha kutafunya maneno wewe babu..... tena km nyie ndo hatari kabisa????? Hatutaki kusikia mambo ya ghafla ghafla kushtukizwa tena.
Oohoo! mara babu hayuko Ikulu tena.Analala peke yake mara katengwa kitanda ...
Aibu iko wapi hapo? kuongelea mashine zetu sote?. Kila mtu anayo. Km ulirogwa kakapinda unakaonea aibu sema utibiwe.
uko hapo unabwabwaja sababu kuna mtu alijipinda akaililia??
Mbona yeye hakumficha km ni aibu? Kamfiche wako huyo mwenye sura km naniliu...
Nyie ndo mnashindwaga kuwafundisha mabinti zenu kuhusu ukimwi wanakufa hafu mnatulilia!!!
Binti yako muonyeshe na umfundishe kwa vitendo ili ajue chungu na karaha ya ukimwi.
Na ajilinde na wanaume laghai wewe!!! Dunia imebadirika sana. Wa wapi wewe????
Siyo Ohoo! Mara binti yangu kwa mila na desturi Zetu oohoo!
Mama kaharisha!!... Utampoteza huyo!! hayaaa weee!!!
Sometime mkeo alikupiga changa la macho!!!... Sasa unajambajamba hovyo tu....nipishege hukoooo.....mfyuxxcz!