Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,823
- 3,816
Majukumu yake kiserikali yatakuwa ni yapi? au nae ataanzisha miradi ya kuwasaidia wasiojiweza kwa hisani ya ikulu awe anazungukia vituo vya watoto yatima.
Niko nasubiria Jibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majukumu yake kiserikali yatakuwa ni yapi? au nae ataanzisha miradi ya kuwasaidia wasiojiweza kwa hisani ya ikulu awe anazungukia vituo vya watoto yatima.
Hata mimi nimeona hili, kama watu walijipanga sasa imekula kwao.Kuna watu mipango yao ya Urais imepigwa summersault ya kufa mtu. Mama Samia until 2025...then awamu nyingine ya miaka mitano kama status quo itaendelea.
Duuuh, hii balaa sasa; ataweza kweli huyu mama?Anaukwaa Urais mpaka 2025. Then kwa mujibu wa Katiba atakuwa na haki zote za kugombea awamu yake ya pili. Unless CCM wamfanyie figisu hapo kati
Nilichojifunza Mimi ni kuwa "maisha yako" yawezekana ndio bora zaidi ya unajilinganisha naoMzee tayari sasa licha ya mshahara mnono na office yenye budget juu bado atapatiwa msafara na walinzi lukuki - kweli kufa kufaana !! Hongera zake !!
Maza ninauhakika atajitahidi kukaza ili achukue tena 2025, labda awe amechoka maana haonekani kama anaweza huu mziki mnene kwa muda mrefuHata mimi nimeona hili, kama watu walijipanga sasa imekula kwao.
Akilegeza tu miradi yote nchi nzima watu wanaigeuza kuwa cashcow...yanarudi yale ya 'unajua mi ni nani?'Huyu mama aendeleze tu lile saga la tumbuatumbua
Tuache tunaomboleza kwanza tutarudi kujadili MkuuHapo hamna wa kutumia jina la mwenzie? Wake za Marais wanatumia ubini wa Rais, baba yetu itakuaje?
Samia Hafidh Ameir
Hafidhi Samia Suluhu
Kivp hayo ma asset aliyoachiwa kweli arudi kufundisha pia analipwa mshahara wa rais aliyeko madarakani mpaka kufaKwa iyo janet anarudi shule kushika chaki
Yale yale ya "atawale milele"!Kwakifupi mam samia atakuepo mjengoni for 14 years kama rais.
Anamalizia hii mi 4 ya magu.
Anagombea mi 5 yake ya kwanza
Anagombea mi 5 yake ya pili
Katiba inaruhusu term moja tu endapo makamu ametawala miaka inayozidi mitatu mara baada ya raisi iliyopo madarakani kufariki,,Yale yale ya "atawale milele"!
Sijui hamjifunzi sijui mtindio wa ubongo?
Mawazo yenu siyo mawazo ya Mungu.
Natumia a normal experience tu ya unafiki wenu watanzania mnaoibiwa kura daily but u act not.Yale yale ya "atawale milele"!
Sijui hamjifunzi sijui mtindio wa ubongo?
Mawazo yenu siyo mawazo ya Mungu.