Mume wa sasa wa pastor Irene Uwoya ni nani?

Mume wa sasa wa pastor Irene Uwoya ni nani?

Nikikumbuka yale manywele yaje ya kule...upako unanipasua kabisaaa...aisee
 
Bila shaka wengi wetu tunajua huyu mdada alifiwa na mume wake wa kwanza.

Baadae akatokea ustaadhi mmoja hapa chuga akamsilimisha na kumfanya mkewe.

Baada ya muda dogo akadoda wakachana akawa single mshangazi.

Kaibuka hivi majuzi akijiita ni pastor mchunga kondoo, mwanaume wa kumpelekea moto anapowaka tamaa ya ngono hajulikani, mwanaume wa kumuongoza kama kichwa hajulikani.

Kwenu kondoo wote wa Irene hebu mtujuze mume wa pastor wenu ni nani hasa?
Wakamletea mwanamke mzinzi, Yesu akawaambia, Asiye na dhambi na awe wa kwanza kumpga mawe, "wakatawanyika kama upepo"

Wanao comment kuhusu Uwoya wao wenyewe washafanya uzinzi kupitiliza!
 
Wakamletea mwanamke mzinzi, Yesu akawaambia, Asiye na dhambi na awe wa kwanza kumpga mawe, "wakatawanyika kama upepo"

Wanao comment kuhusu Uwoya wao wenyewe washafanya uzinzi kupitiliza!
Kwa nini umetoka nje ya mada mkuu?
 
Back
Top Bottom