Hatari mkuu King Kong III sijui aliupatia wapi. Basi kagawa sana.Pigia mstari ila ni kawaida tu siku hizi tofauti na zamani ilikuwa inatisha...Ukipiga njugu fresh na kula vizuri mbona unadunda sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari mkuu King Kong III sijui aliupatia wapi. Basi kagawa sana.Pigia mstari ila ni kawaida tu siku hizi tofauti na zamani ilikuwa inatisha...Ukipiga njugu fresh na kula vizuri mbona unadunda sana.
Hatari mkuu King Kong III sijui aliupatia wapi. Basi kagawa sana.
Ila life ya Beyonce na Uwoya ni tofauti mkuu. Huyu mbongo mwenzetu skendo nyingi.Hata Beyonce ana Kanisa lake na yeye ndiye Mungu wa waumini wake.😂😂😂
Biblia inasema shika sana ulicho nacho.
Maandalizi ya Shetani/Lucifer/Ibilisi/666/🤘ya kuuangamiza ulimwengu kwa mateso na dhiki kuu, yanaendelea.
Unautaka ubaba mchungaji Irene uwoya!!?Bila shaka wengi wetu tunajua huyu mdada alifiwa na mume wake wa kwanza.
Baadae akatokea ustaadhi mmoja hapa chuga akamsilimisha na kumfanya mkewe.
Baada ya muda dogo akadoda wakachana akawa single mshangazi.
Kaibuka hivi majuzi akijiita ni pastor mchunga kondoo, mwanaume wa kumpelekea moto anapowaka tamaa ya ngono hajulikani, mwanaume wa kumuongoza kama kichwa hajulikani.
Kwenu kondoo wote wa Irene hebu mtujuze mume wa pastor wenu ni nani hasa?
Naona Janjaro alijizima tu data. Hii ni kama ya yule luwe ngose aliyezaa na chairman wa mama ongea na mwanao. Maana chairman nae kitambo wanasema pia ana hiyo kitu.Kuna pejejhee(PDG) alikuwa anaishi nae sinza(alishavuta kitambo).
Acha tu Janjaro aliyakanyaga.
😅😅😅😅 idriss shost akooSasa Bob Risky kaingiaje hapa jamani? [emoji23][emoji23][emoji23]
Shooz angu wa ukweliii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] idriss shost akoo
Wewe unafikiri huyo ni mchafu sana kuliko watu wengi unaowaona??Yaani hao watu wanaojiachia kwa uhuru wana amani kuliko watu wengi wanaofanya uhuni usiku na mchaba kwa kujificha.Tuache kuhukumu watuKuna vitu ukoshavifanya duniani vinaharibu reputation yako hata ubadilike vipi tayari jamii ishakuwekea picha flani ambayo mpk unazikwa haitafutika, huyu bora angeendelea na lifestyle yake ya zamani maana ni kama anajikana tu
Hivi ananyea debe auShooz angu wa ukweliii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijamuhukumu nimesema uhalisiaWewe unafikiri huyo ni mchafu sana kuliko watu wengi unaowaona??Yaani hao watu wanaojiachia kwa uhuru wana amani kuliko watu wengi wanaofanya uhuni usiku na mchaba kwa kujificha.Tuache kuhukumu watu
Acha ujingawe need morden ulokole mambo ya akina mtume paulo sijui tupa kule, mchungaji avae kimini, paja nje nje, waumini tukienda kanisani tunapunguza stress za mahusiano kwa kuangalia uumbaji wa allah kwa mchungaji, mkoje nyie? yan mambo ya miaka 2000+ iliyopita mnataka kuyaleta karne hii? bakini huko rc/kkkt kwenu msituchoshe.
ujinga gani/upi?Acha ujinga
ujinga gani/upi?Acha ujinga