Mume wa sasa wa pastor Irene Uwoya ni nani?

Mume wa sasa wa pastor Irene Uwoya ni nani?

Nnje ya Mada

Mwanamke Mwenye Nyama Nyama ni mzuri wapendwa katika Bwana.

Mwanamke anaejua kujiweka ki sexy sexy mtamu sana watu wa Mungu..

Ki picha picha hii manzi ni nzuri sana ila naamini akiwa Off dress sidhani kama unaweza tamani rudia mara mbili.
 
Nnje ya Mada

Mwanamke Mwenye Nyama Nyama ni mzuri wapendwa katika Bwana.

Mwanamke anaejua kujiweka ki sexy sexy mtamu sana watu wa Mungu..

Ki picha picha hii manzi ni nzuri sana ila naamini akiwa Off dress sidhani kama unaweza tamani rudia mara mbili.
waliopita wanakuambia ni mtamu halafu sio mchoyo, wewe tu na sound zako.
 
Imani yako mkuu, unaenda unapona,,..tena hilo kanisa litakaa kijinsia me sana
Huyo ndio pastor anayefaa kuhudumia jinsia me
 

Attachments

  • 1716305427780.jpg
    1716305427780.jpg
    476.1 KB · Views: 7
Bila shaka wengi wetu tunajua huyu mdada alifiwa na mume wake wa kwanza.

Baadae akatokea ustaadhi mmoja hapa chuga akamsilimisha na kumfanya mkewe.

Baada ya muda dogo akadoda wakachana akawa single mshangazi.

Kaibuka hivi majuzi akijiita ni pastor mchunga kondoo, mwanaume wa kumpelekea moto anapowaka tamaa ya ngono hajulikani, mwanaume wa kumuongoza kama kichwa hajulikani.

Kwenu kondoo wote wa Irene hebu mtujuze mume wa pastor wenu ni nani hasa?
Chama la wana huyo.

Maokoto yako tu simu moja imoo...Ila ni Kazeze ni kazeze ni Kazeze HTT 132KVA.
 
Back
Top Bottom