Mume wa sasa wa pastor Irene Uwoya ni nani?

Mume wa sasa wa pastor Irene Uwoya ni nani?

Sijaongelea kuhusu watu watakaoenda huko Kanisani ila huenda kuna watu wakamuona amebadilika yeye kama yeye kisha nao wakafuata njia njema aliyoichagua,hayo ya nyuma ya pazia hata wewe huyajui,tumuachie mwenyewe muhusika hayo ya nyuma ya pazia,

Bila shaka hata wewe unayo yako ya nyuma ya pazia,kila binadamu ana mapungufu yake,

Counting other people's sins does not make you a Saint.
Hivi kwa akili zako timamu unaweza kufuata ushauri wa mtu kama huyo? Acheni kutufanya wajinga, huyo tyr misingi ya maisha yake ni umalaya sidhani kama Leo akitokea kigogo mwenye doo akashindwa kushtua hapo. Kuna vitu haviwezi kubadilika hata ufanyanyeje angalia mwili, angalia mavazi, angalia tu muonekano. Alafu uniambie kama kuna mabadiliko hapo. Mimi sija count sins nimeongea uhalisia hakuna mchungaji wala mtu wa mungu hapo.
 
Mtume Paulo aliyafanya kuwa vinyesi yale mabaya yote yaliyopita.

Sasa huyu mshangazi bado kaweka mapicha yake ya nusu uchi kule mitandaoni, kuna pastor hapo, au kuna mtu kabadilika hapo.

Irene ni kahaba aliyekuja kwa vazi la uchungaji kuboresha biashara yake ya ukahaba na ndio maana hajafuta picha zake za zamani.
usimuhukumu pastor wa friends of god ministry unatenda dhambi mbaya sana.
 
Angekuwa kabadilika angefuta picha zake zote huko mitandaoni zinazochochea ngono.

Kuna watu kama baba swalehe huwa wanapigia puli hizo picha.

Irene ni yule yule hajabadilika.
Si ndo hapo sass, unajua wajinga ndo waliwao huyo anataka kutumia umaarufu kuficha ujinga aloufanya af wapuuzi wanasapoti. Najua kakaa kwenye industry miaka mingapi af eti ndani ya mwaka mmoja atangaze kawa mchungaji acheni kushadadia ujinga wa waziwazi
 
Bila shaka wengi wetu tunajua huyu mdada alifiwa na mume wake wa kwanza.

Baadae akatokea ustaadhi mmoja hapa chuga akamsilimisha na kumfanya mkewe.

Baada ya muda dogo akadoda wakachana akawa single mshangazi.

Kaibuka hivi majuzi akijiita ni pastor mchunga kondoo, mwanaume wa kumpelekea moto anapowaka tamaa ya ngono hajulikani, mwanaume wa kumuongoza kama kichwa hajulikani.

Kwenu kondoo wote wa Irene hebu mtujuze mume wa pastor wenu ni nani hasa?
Una wasiwasi na nyege zake?
 
Si ndo hapo sass, unajua wajinga ndo waliwao huyo anataka kutumia umaarufu kuficha ujinga aloufanya af wapuuzi wanasapoti. Najua kakaa kwenye industry miaka mingapi af eti ndani ya mwaka mmoja atangaze kawa mchungaji acheni kushadadia ujinga wa waziwazi
Huyu shangazi hajaacha ukahaba na ndio maana hata mume hajulikani ni nani?

Natamani kukutana ana kwa ana na family members wa Friends of God Ministry niwajue ni watu wa aina gani.
 
Bila shaka wengi wetu tunajua huyu mdada alifiwa na mume wake wa kwanza.

Baadae akatokea ustaadhi mmoja hapa chuga akamsilimisha na kumfanya mkewe.

Baada ya muda dogo akadoda wakachana akawa single mshangazi.

Kaibuka hivi majuzi akijiita ni pastor mchunga kondoo, mwanaume wa kumpelekea moto anapowaka tamaa ya ngono hajulikani, mwanaume wa kumuongoza kama kichwa hajulikani.

Kwenu kondoo wote wa Irene hebu mtujuze mume wa pastor wenu ni nani hasa?

Luka 7:36-50

36 Mmoja wa Mafarisayo akamwalika Yesu ale pamoja naye; naye akaingia nyumbani kwa yule Farisayo, akaketi kula chakula. 37 Na tazama, mwanamke mmoja wa mjini, aliyekuwa mwenye dhambi, alipopata habari ya kwamba Yesu ameketi chakulani katika nyumba ya yule Farisayo, alileta chupa ya marashi. 38 Akasimama nyuma karibu na miguu yake, akilia, akaanza kuimwagia miguu yake machozi na kuipangusa kwa nywele za kichwa chake, akaibusu miguu yake na kuyapaka yale marashi. 39 Yule Farisayo aliyemwalika alipomwona, akajisemea moyoni, 'Kama huyu angekuwa nabii, angalimjua mwanamke huyu amgusaye, ya kuwa ni mwenye dhambi.'

40 Yesu akajibu, akamwambia, 'Simoni, nina neno kwako.' Akasema, 'Mwalimu, sema.' 41 'Palikuwa na mtu mmoja mwenye madeni kwa wakopeshaji wawili; mmoja alimwiwa dinari mia tano, na mwingine hamsini. 42 Walipokuwa hawana kitu cha kumlipa, aliwasamehe wote wawili. Sasa ni yupi kati yao atakayempenda zaidi?' 43 Simoni akajibu, 'Nadhani ni yule aliyesamehewa deni kubwa zaidi.' Yesu akamwambia, 'Umehukumu sawa.'

44 Akamgeukia yule mwanamke, akamwambia Simoni, 'Waona mwanamke huyu? Niliingia nyumbani kwako, hukunipa maji ya kunawa miguu yangu; bali huyu amenimwagia miguu yangu machozi na kuipangusa kwa nywele za kichwa chake. 45 Hukunibusu; bali huyu, tangu nilipoingia, hakuacha kuibusu miguu yangu. 46 Kichwa changu hukunipaka mafuta; bali huyu amenipaka miguu yangu marashi. 47 Kwa hiyo, nakuambia, amesamehewa dhambi zake nyingi, kwa maana amependa sana. Lakini anayesamehewa kidogo, anapenda kidogo.'

48 Kisha akamwambia yule mwanamke, 'Umesamehewa dhambi zako.' 49 Wale walioketi chakulani pamoja naye wakaanza kusema mioyoni mwao, 'Ni nani huyu hata asamehe dhambi?' 50 Yesu akamwambia yule mwanamke, 'Imani yako imekuokoa; nenda kwa amani.'


Maana ya Tukio Hili

  1. Upendo na Shukrani: Mwanamke huyo aliyejulikana kama mwenye dhambi alionyesha upendo na shukrani kubwa kwa Yesu kwa kumwagia miguu yake machozi na marashi. Hii inaonyesha kuwa alikuwa na shukrani kubwa kwa msamaha na neema aliyopokea.
  2. Kusamehewa: Yesu alionyesha kuwa msamaha ni muhimu na kwamba upendo mkubwa hutoka kwa wale wanaotambua ukubwa wa msamaha wanaopokea. Hii inadhihirisha rehema na huruma ya Mungu kwa wote wanaotubu na kumwendea.
  3. Kuhukumu: Tukio hili pia linaonyesha tofauti kati ya jinsi Yesu anavyowaona watu na jinsi wanadamu wanavyohukumu. Wakati Farisayo alihukumu kwa sura ya nje na historia ya mwanamke huyo, Yesu aliona moyo wake wa toba na upendo.
  4. Imani: Imani ya mwanamke huyo ilimwokoa. Hii ni dhana kuu katika mafundisho ya Yesu, kwamba imani na toba ya kweli huleta wokovu na amani
 
Smart911 nasie lazima tuanzishe kanisa Halleluiiiiiiijah!

Sikuhizi Injili imevamiwa kama sio kuingiliwa🙌🙌🙌🙌!
Yesu alikuja kwaajili ya Mafirauni, Majambazi , Makahaba, mayatima, waliokataliwa na maskini;
Mafarisayo na Masadukayo ndio nyie, mnajiona watakatifu kwa matendo yenu na kujihesabia haki na kutenga watu flani kuwa ni wadhambi, mliambiwa muache unafki!
 
Smart911 nasie lazima tuanzishe kanisa Halleluiiiiiiijah!

Sikuhizi Injili imevamiwa kama sio kuingiliwa🙌🙌🙌🙌!
Mathayo 23:27-28: "Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mmefanana na makaburi yaliyopakwa chokaa, ambayo kwa nje yaonekana kuwa mazuri, bali ndani yake yamejaa mifupa ya wafu, na uchafu wote. Vivyo hivyo ninyi nanyi, kwa nje mwaonekana na watu kuwa wenye haki, bali ndani mmejaa unafiki na maasi.
 
Bila shaka wengi wetu tunajua huyu mdada alifiwa na mume wake wa kwanza.

Baadae akatokea ustaadhi mmoja hapa chuga akamsilimisha na kumfanya mkewe.

Baada ya muda dogo akadoda wakachana akawa single mshangazi.

Kaibuka hivi majuzi akijiita ni pastor mchunga kondoo, mwanaume wa kumpelekea moto anapowaka tamaa ya ngono hajulikani, mwanaume wa kumuongoza kama kichwa hajulikani.

Kwenu kondoo wote wa Irene hebu mtujuze mume wa pastor wenu ni nani hasa?

Matendo ya Unafiki​

Yesu aliwakaripia Mafarisayo kwa sababu walikuwa wakionekana wakiwa wacha Mungu kwa nje, lakini mioyo yao ilikuwa mbali na Mungu. Walikuwa wakijifanya wema mbele za watu lakini walikuwa na nia mbaya na walikuwa wakifanya matendo yao ya dini kwa ajili ya kuonekana na watu badala ya kumtumikia Mungu kwa dhati.

Farisayo wa Sasa ni mtoa Post, anahisi ni mtakatifu ila kiunoni kavaa hirizi, shingoni kamninginiza sanamu
 
Back
Top Bottom