Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa!!Yesu alikuja kwaajili ya Mafirauni, Majambazi , Makahaba, mayatima, waliokataliwa na maskini;
Mafarisayo na Masadukayo ndio nyie, mnajiona watakatifu kwa matendo yenu na kujihesabia haki na kutenga watu flani kuwa ni wadhambi, mliambiwa muache unafki!
we need morden ulokole mambo ya akina mtume paulo sijui tupa kule, mchungaji avae kimini, paja nje nje, waumini tukienda kanisani tunapunguza stress za mahusiano kwa kuangalia uumbaji wa allah kwa mchungaji, mkoje nyie? yan mambo ya miaka 2000+ iliyopita mnataka kuyaleta karne hii? bakini huko rc/kkkt kwenu msituchoshe.granitized soma na uelewe hii post..
Na farisayo wa kesho yupoje?Farisayo wa Sasa ni mtoa Post, anahisi ni mtakatifu ila kiunoni kavaa hirizi, shingoni kamninginiza sanamu
Halleluiiiiiiijah!!Mathayo 23:27-28: "Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mmefanana na makaburi yaliyopakwa chokaa, ambayo kwa nje yaonekana kuwa mazuri, bali ndani yake yamejaa mifupa ya wafu, na uchafu wote. Vivyo hivyo ninyi nanyi, kwa nje mwaonekana na watu kuwa wenye haki, bali ndani mmejaa unafiki na maasi.
Nataka nikuulize swaliwe need morden ulokole mambo ya akina mtume paulo sijui tupa kule, mchungaji avae kimini, paja nje nje, waumini tukienda kanisani tunapunguza stress za mahusiano kwa kuangalia uumbaji wa allah kwa mchungaji, mkoje nyie? yan mambo ya miaka 2000+ iliyopita mnataka kuyaleta karne hii? bakini huko rc/kkkt kwenu msituchoshe.
Kanisa lako lipo location ipi?Mimi mchungaji KINakirefu hapa
Salamaleko mkuuYesu alikuja kwaajili ya Mafirauni, Majambazi , Makahaba, mayatima, waliokataliwa na maskini;
Mafarisayo na Masadukayo ndio nyie, mnajiona watakatifu kwa matendo yenu na kujihesabia haki na kutenga watu flani kuwa ni wadhambi, mliambiwa muache unafki!
sasa madame wala maeneo yao si tunayajua au? mavazi sio roho mkuu.Nataka nikuulize swali
Upo ndani ya ndinga lako usiku unapita baadhi ya maeneo dar
Huwa unajua wale wanaojiuza kwa sababy ipi? Nikimaanisha huwa unajuaje huyu mwanamke anajiuza
Kwa wakristo hakunaga migegedano huko mbinguni, mwanaume asiyesimamisha atakwenda hakika.Na Mbinguni wataenda!
Endapo ,mke wa mchungaji na simchungaji huitwa mama mchungaji ,inakuwaje mimi mume wa mchungaji niulizwe kanisaKanisa lako lipo location ipi?
Mama mchungaji 😊!Sawa nikiwa mchungaji wewe utakua nani?
[emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1548]Never judge people by their past,
people learn,people change,
people move on.
Na ikiwa hujui location lilipo kanisa la mkeo wewe ni mchepuko wake tu huyo mchungaji sio mkeoinakuwaje mimi mume wa mchungaji niulizwe kanisa
Sikia ,niheshimu mimi shemeji yakoNa ikiwa hujui location lilipo kanisa la mkeo wewe ni mchepuko wake tu huyo mchungaji sio mkeo
Huwa hatuwafuatilii bali wao wenyewe huomba tuwafollow na ndipo huko sasa hukutana na vituko vyao 😂Hivi kwanini huwa mnapenda sana kufatilia maisha binafsi ya watu..?
Ikiwa wewe shemeji yangu umewahi kukesha na dada yangu kwenye maombi ya mkesha huko Duluti mapangoni?Sikia ,niheshimu mimi shemeji yako