Mume wa sasa wa pastor Irene Uwoya ni nani?

Mume wa sasa wa pastor Irene Uwoya ni nani?

Hilo la kupokelewa na Mungu halina shida, shida ipo kwenye kupokea uchungaji.

Hivi wewe kama wewe una uhakika gani kuwa huyo mshangazi kapewa uchungaji na Mungu?

Mshangazi hakauki social media kila siku kila saa yupo social media, huko ndipo hukutana na Mungu kupewa maelekezo ya kuwa pastor halisi?
Mimi sijaongelea hizo issue sijui za pastor,kwanza hata sielewi huo upastor unapatikanaje,mimi ni wa upande wa pili ila nikiona mtu amebadilika kutoka kwenye uovu na kuingia kwenye wema,nitamsapoti tu kwa hatua hiyo iliyoichukua.
 
Nenda kaombewe mapepo yatoke yateketeee
Wewe baba Kisari,
Imani yako itakuponya mapepo yataondoka
Tena ukienda kuombewa akikushika tu unakuwa hoi bin taaban
Hili kanisa litakaa kina baba wengi sana/wanaume
 
Sidhani kama umenielewa nimesema jamii, jinsi inavyomuona. Kingine mabadiliko hayaoneshwi kwa watu na sisi hatuwezi jua awazavyo kama kweli amebsdilika au anafanya kuficha uchafu tu ila nyuma ya pazia hakuna lolote. Kikubwa aishi kimya na sio kutafta Kuonekana. Mungu hapendi hayo, emb imagine kati ya watu 10 watakao enda kanisani ni wawili tu ndo watakao kuwa na mentality kama yako, wengine wote lazma ile picha yake ya zamani iwarudie... ndo ile kondoo kala mtumishi ancho kitafta.
Sijaongelea kuhusu watu watakaoenda huko Kanisani ila huenda kuna watu wakamuona amebadilika yeye kama yeye kisha nao wakafuata njia njema aliyoichagua,hayo ya nyuma ya pazia hata wewe huyajui,tumuachie mwenyewe muhusika hayo ya nyuma ya pazia,

Bila shaka hata wewe unayo yako ya nyuma ya pazia,kila binadamu ana mapungufu yake,

Counting other people's sins does not make you a Saint.
 
hataki kuwa mnafiki, anataka watu waone alikotoka, alipo na anakotaka kwenda,
Mtume Paulo aliyafanya kuwa vinyesi yale mabaya yote yaliyopita.

Sasa huyu mshangazi bado kaweka mapicha yake ya nusu uchi kule mitandaoni, kuna pastor hapo, au kuna mtu kabadilika hapo.

Irene ni kahaba aliyekuja kwa vazi la uchungaji kuboresha biashara yake ya ukahaba na ndio maana hajafuta picha zake za zamani.
 
Back
Top Bottom