AnyWayZ
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 4,880
- 8,424
Hapana yule anaonekane si mchoyo kabisa hawez nikazia.Na usipopata unachitarajia usimlaumu pastor 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana yule anaonekane si mchoyo kabisa hawez nikazia.Na usipopata unachitarajia usimlaumu pastor 😂
Ngoja wafuasi wake wa Dar waje wakuelekeze lilipo kanisa.hivi kanisa liko wapi ?
Jiangushe kama umepagawa na mapepo utampata kirahisi jombaHapana yule anaonekane si mchoyo kabisa hawez nikazia.
Watakua wamenisaidiaNgoja wafuasi wake wa Dar waje wakuelekeze lilipo kanisa.
Yaani mimi huyu nifunge macho niombewe na huyo?Baba Kisari umemwandama huyu bi mchungaji ,tafuta kanisa lake mzee
Dadeki sema yule Malaya mtamu daaah, ni zaid ya bikra 72 zote za peponi.Jiangushe kama umepagawa na mapepo utampata kirahisi jomba
Unaombewa vizuri tuYaani mimi huyu nifunge macho niombewe na huyo?
Ni heri nikakeshe kwenye mapango ya Duluti nikijiombea mwenyewe usiku kucha.
Unaweza ukawa upo sahihi But kama amebadilika kwa ajili ya Mungu wake basi hata kama atakua hana hiyo reputation kwa watu ila kwa Mungu atapokelewa coz amejirudi,Mungu anampokea kila anayetubia na kubadilika,Kuna vitu ukoshavifanya duniani vinaharibu reputation yako hata ubadilike vipi tayari jamii ishakuwekea picha flani ambayo mpk unazikwa haitafutika, huyu bora angeendelea na lifestyle yake ya zamani maana ni kama anajikana tu
Hakuna kitu kama hichoUnaombewa vizuri tu
Imani yako tuHakuna kitu kama hicho
Sidhani kama umenielewa nimesema jamii, jinsi inavyomuona. Kingine mabadiliko hayaoneshwi kwa watu na sisi hatuwezi jua awazavyo kama kweli amebsdilika au anafanya kuficha uchafu tu ila nyuma ya pazia hakuna lolote. Kikubwa aishi kimya na sio kutafta Kuonekana. Mungu hapendi hayo, emb imagine kati ya watu 10 watakao enda kanisani ni wawili tu ndo watakao kuwa na mentality kama yako, wengine wote lazma ile picha yake ya zamani iwarudie... ndo ile kondoo kala mtumishi ancho kitafta.Unaweza ukawa upo sahihi But kama amebadilika kwa ajili ya Mungu wake basi hata kama atakua hana hiyo reputation kwa watu ila kwa Mungu atapokelewa coz amejirudi,Mungu anampokea kila anayetubia na kubadilika,
Mimi nadhani watu wa aina hii wanahitaji support zaidi kuliko kuwakatisha tamaa.
Hilo la kupokelewa na Mungu halina shida, shida ipo kwenye kupokea uchungaji.Mungu anampokea kila anayetubia na kubadilika,
Nenda wewe ukaombewe kwa imani 😂Imani yako tu
Kwa hiyo makanisani kuna dili?Wakishakosah soko ukimbilia makanisani
Ukifata dili kanisani utoboiKwa hiyo makanisani kuna dili?
Imani yangu haipo huko kwake ila kuna wengine imani zao zmejazana humo😅Nenda wewe ukaombewe kwa imani 😂