Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa tunaanzaia wapi mkuu. vijana tunao tuanze na waliotoka jkt wanahasira sanaKabisa, bila kutokea machafuko, au jeshi kupindua serikali tuanze moja, CCM wataendelea kututawala hivi hivi kwa shuruti.
Hawa wa sasa vya kwao vyote 🔥🔥🔥😁Hahahaaa!!! Kwani spika alie pita mke wake hakua n cheo nchi hii? Tulieni dawa inaingia sw
Maendeleo tutapata tu mkuu..Hii nchi watu wanagawana tu ulaji. Halafu tutegemee maendeleo kwa utaratibu wa aina hii kweli!!
Wapindue wakati wanapewa Land cruiser LC 300 mpya??Kabisa, bila kutokea machafuko, au jeshi kupindua serikali tuanze moja, CCM wataendelea kututawala hivi hivi kwa shuruti.
Wanaopindua nchi ni wa level ya chini, sio hao majenerali.Wapindue wakati wanapewa Land cruiser LC 300 mpya??
Labda wa kule Africa magharibi akina mamadou duboyaWanaopindua nchi ni wa level ya chini, sio hao majenerali.
Sisi tuendelee kubishana Simba na yanga Mkuu..huku ma CCM yakiendelea na Ufisadi na hatuna cha kuyafanya.Hii nchi watu wanagawana tu ulaji. Halafu tutegemee maendeleo kwa utaratibu wa aina hii kweli!!
Kwa busara tuKitendo cha MUME wa Spika wa Bunge, Dk. Tulia kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa EWURA haiwazuii wabunge kujadili matatizo yaliyoko kwenye Wizara ya Nishati hasa yatokanayo na mambo ya mafuta eti kwa sababu Spika anamgongano wa kimaslahi na Wizara ya Nishati.
Wabunge mko bungeni kwa ajili ya wananchi sio kwa ajili ya kuilinda familia fulani.. kazi kwenu wananchi wanawatazama.
Upumbavu hautetewi kwa upumbavuHata spika ndugai mkewe alikuwa mkurugenzi
Sitetei mkuu,.ila nakumbusha tu....sielew Tanzania haka katabia kataisha liniUpumbavu hautetewi kwa upumbavu