Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke wa Ndugai alipandishwa cheo na samia kutoka DED mpaka RAS wa mkoa Dodoma.Sitetei mkuu,.ila nakumbusha tu....sielew Tanzania haka katabia kataisha lini
Stuka! Acha upimbiKitendo cha MUME wa Spika wa Bunge, Dk. Tulia kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa EWURA haiwazuii wabunge kujadili matatizo yaliyoko kwenye Wizara ya Nishati hasa yatokanayo na mambo ya mafuta eti kwa sababu Spika anamgongano wa kimaslahi na Wizara ya Nishati.
Wabunge mko bungeni kwa ajili ya wananchi sio kwa ajili ya kuilinda familia fulani.. kazi kwenu wananchi wanawatazama.
Mawazo mengine ni kijinga kweli! kwahiyo akiwa mume speaker basi alipaswa akae yumbani? mwazo mepesi sana haya tena ya kijingaKitendo cha MUME wa Spika wa Bunge, Dk. Tulia kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa EWURA haiwazuii wabunge kujadili matatizo yaliyoko kwenye Wizara ya Nishati hasa yatokanayo na mambo ya mafuta eti kwa sababu Spika anamgongano wa kimaslahi na Wizara ya Nishati.
Wabunge mko bungeni kwa ajili ya wananchi sio kwa ajili ya kuilinda familia fulani.. kazi kwenu wananchi wanawatazama.
Kweli mnyaluDuh
Sugu Moto Chini!