Mume wa Spika kuwa Bosi wa EWURA haiwazuii wabunge kuisimamia Wizara ya Nishati

Huyo aliyemteuwa alitumia akili gani aisee. Mbona hii inchi inaendeshwa kishoga sana siku hizi?!,


Hivi sheria kanuni, miiko na kila aina ya katazo vimeruhusu hili jambo?!

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Stuka! Acha upimbi
 
Nchi hii bila connection unaweza kula vumbi miaka 100 bila kutoboa.
 
Mawazo mengine ni kijinga kweli! kwahiyo akiwa mume speaker basi alipaswa akae yumbani? mwazo mepesi sana haya tena ya kijinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…