cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Nimeshashawishiwa na Aspirin
Hahaha kwa sababu ninalea kimimba ninaachwa nyumbani muda mwingi. Macho iko huku.Na ujiongeze haswa.. ukilemaa tu atadakwa na wengine.. si unajua mwanaume anayeringishiwa ndio huwa kivutio kwa wanawake ili watake kumjua.. kuwa makini atiiii eeeeeeh nakushauri tu
Wivu naona umekujaa jaa siku hizi.. ila mwachie aburudike vizuri jamani.. ni mtandao tu haonani na mtu..
Hahaha kwa sababu ninalea kimimba ninaachwa nyumbani muda mwingi. Macho iko huku.
Wa kike au wa kiume?Duh!! Maombi yangu kama wakibahatika kubebeshana mimba mtoto asifanane na baba yake tu....!!!
Mchagua nazi mwisho hupata koroma, wacha ahangaike na koroma lake mwenyewe mana hakuna wa kumuibia sababu halitoi tui zuri katika mapishi nani atalihitaji [emoji3] [emoji3] apambane na hali yake kwakwel
Huyo ni Le Super Kibamiaz akiwa kwenye jinsia nyingine..!!Wakwako utatuonyesha lini shost?
Hahaha huyu ni kama hamorapaMajambazi ya bongo movie in new version
Acha uongo.Nice couple
HhhhaaaaAcha uongo.
Sema ukweli wako toka moyoni
Na sie bado hatujaolewa so tusicheke mamba kabla hatujavuka mtoKwa kweli