Ngengemkenilomolomo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 270
- 450
Acheni ujinga mtoto ameonekana na ni copyright na diomond.kaleni ndimu
Ni ubwege kudai eti huyu ni mwanangu na huyu ni mke wangu huku ukiacha huyo unayesema ni mkeo akihamia kwa mwanaume mwingine huku akimgegeda kila siku. Kinachomsumbua ex-mume wa Zari ni wivu na si kitu kingine. Wanaume wengi wenye hela hupenda kuwaona watalaka wao wakipata shida katika maisha. Sasa hili suala linamsumbua sana Ivan na hasa huyo shemeji yake King Lawrency, anaona kama Zari kawafanyia dharau kwa kitendo chake cha kutembea na Diamond.
Yes, that's !.???????????????????????????
Namba 4.Naomba a nijibiwe haya
1.zari na huyo jamaa walipeana talaka lini??
2.Kama hawajpena sheria anasemaje kuhusu kutembea na mke wa mtu?
3D ni Islam...je na yeye dini yake anasemaje kuhusu kutembea na mke mtu???
4.Kama zari hakupewa talaka basi technically kisheria mtoto ni wa mume wake coz bado yuko ndoani