Nimekaa nikatafakari. Sisi wanaume ambao harakati zetu za kupata mkate wa kila siku zinahusisha kusafiri safiri, tunachapiwa sana wake zetu.
Nimesoma nyuzi nyingi sana hapa JF vijana wakieleza ilikuwaje wakatembea na mke wa mtu, hichi kipengele cha 'mumewe ni mtu wa kusafiri sana' kimetajwa mara nyungi mno.
Haya, endeleeni kutuchapia tukisafiri. Ila siku nikukufuma tutayagawana tuu majengo ya serikali. Mara maana hakuna namna.
Hutaki? Au hujui kama tunajukumu la kuchakatana sana ili kuendeleza genetation?Watanzania mawazo yetu asilimia 90 tunawaza kuchakatana tu.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Utafanya watu wasafiri na wake zaoNimekaa nikatafakari. Sisi wanaume ambao harakati zetu za kupata mkate wa kila siku zinahusisha kusafiri safiri, tunachapiwa sana wake zetu.
Nimesoma nyuzi nyingi sana hapa JF vijana wakieleza ilikuwaje wakatembea na mke wa mtu, hichi kipengele cha 'mumewe ni mtu wa kusafiri sana' kimetajwa mara nyungi mno.
Haya, endeleeni kutuchapia tukisafiri. Ila siku nikukufuma tutayagawana tuu majengo ya serikali. Mara maana hakuna namna.
umasikini na ngono bampa to bampa!Watanzania mawazo yetu asilimia 90 tunawaza kuchakatana tu.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
MrejeshoNiliwahi kujitapa kama wewe, lakini siku ilipo tokea ilikua kinyume chake kabisa.... (nitakuja kusimulia siku nyingine)