Mume wake ni mtu wa kusafiri

Mume wake ni mtu wa kusafiri

Engager

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
1,522
Reaction score
3,255
Nimekaa nikatafakari. Sisi wanaume ambao harakati zetu za kupata mkate wa kila siku zinahusisha kusafiri safiri, tunachapiwa sana wake zetu.

Nimesoma nyuzi nyingi sana hapa JF vijana wakieleza ilikuwaje wakatembea na mke wa mtu, hichi kipengele cha 'mumewe ni mtu wa kusafiri sana' kimetajwa mara nyungi mno.

Haya, endeleeni kutuchapia tukisafiri. Ila siku nikukufuma tutayagawana tuu majengo ya serikali. Mara maana hakuna namna.
 
2db9b6a4-83b0-4711-857e-94f388d9914a.jpg
 
Kwa mke Kama yule hata ukihama utamkuta Kama alivyo maana anamsimamo sana.wanaochapiwa wanawake ndio chanzo maana wanajirahisi na kujitegesha mno.
 
Nimekaa nikatafakari. Sisi wanaume ambao harakati zetu za kupata mkate wa kila siku zinahusisha kusafiri safiri, tunachapiwa sana wake zetu.

Nimesoma nyuzi nyingi sana hapa JF vijana wakieleza ilikuwaje wakatembea na mke wa mtu, hichi kipengele cha 'mumewe ni mtu wa kusafiri sana' kimetajwa mara nyungi mno.

Haya, endeleeni kutuchapia tukisafiri. Ila siku nikukufuma tutayagawana tuu majengo ya serikali. Mara maana hakuna namna.

Wengi ni waongo, wanaeleza vitu ambavyo havipo
 
Mwanamke akiwa kiruka njia, hata kama husafiri popote ataigawa tu !! Ni kama mwizi !! Akikuta hata elfu moja mahali "atailia timing" ili aiibe
 
Nimekaa nikatafakari. Sisi wanaume ambao harakati zetu za kupata mkate wa kila siku zinahusisha kusafiri safiri, tunachapiwa sana wake zetu.

Nimesoma nyuzi nyingi sana hapa JF vijana wakieleza ilikuwaje wakatembea na mke wa mtu, hichi kipengele cha 'mumewe ni mtu wa kusafiri sana' kimetajwa mara nyungi mno.

Haya, endeleeni kutuchapia tukisafiri. Ila siku nikukufuma tutayagawana tuu majengo ya serikali. Mara maana hakuna namna.
Utafanya watu wasafiri na wake zao
 
Back
Top Bottom