Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

Muwe wavumilivu huko nyuma...Foleni bado inasogea mtafikiwa[emoji3]
 
Ni bora watoto wakajijengea kuliko kuwajengea kwa mapato haramu
Alafu kushindana na mtu kwa ajili ya mtoto wake ni upuuzi
 
The best article in this year.Hail to you mama.Mimi sijaona baya ni results za a broken heart.Muhimu usimchukie huyo mtoto wake pia tumia kinga.Kazi iendelee Hawa wanaume wanatuonaga sisi maboya Sana.Safiiiii.
 
Zaa mtoto mwingine tena. Ongezea na mwingine
 
roho ya kisasi sio nzuri
 
Dada umeamua[emoji23][emoji38][emoji38][emoji13]
 
Carleen sijakuelewa dear?
 
Hata nyie ukishindana na mwanamke unapunguza umri wako wa kuishi tuu.
Kupitia sehemu zangu za siri.
Inaelekea unapenda sana kupambana na mumeo ila usisaha siku amajua unamsaliti ndo siku mke mwenzako atakuwa mke na wewe utakuwa mchepuko ndani ya nyumba yako mwenyewe. Huyo baba hao ni watoto wake wote so usidhan atawabagua. Hizo nyumba unajenga ataishi nani maana zitakuwa ni zasiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…