Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

We ni mwanamke mpambanaji, hongera sana na pole

Ila kwani umechepuka?

Ndoa ni mapambano pia, ulipaswa upambane, ila wewe uliwaza Mali tuu...
Kuchukuliwa na mtoto ...

Huyo mtoto ni jaribu na ni baraka ungemlea na kumpenda tuu
🙏🏼
 
Wewe hukuchepuka kwa sababu ya maumivu ya mumeo kuzaa njee.

In short,unachepuka ili kutimiza malengo/maslahi yako,kwa maneno mengine wewe ni changudoa uliyekaa kikisasa zaidi.

MChepuko wa 1 kajenga Boma na kuwezeka.
Wa pili atafanya plumbing & electric fixing.
Wa tatu aje afanye plastering & skimming .
Mpka nyumba iishe utakua umechepuka na wanaume zaidi ya 5.

Endelea kuumiza sehemu ako za Siri shangazi.
Hii inatoa tafsiri pana kuwa katika baadhi ya ndoa kuna machangudoa sugu Ila hawa wako kisasa zaidi.... Tofauti na wanaokaa barabarani...
 
Sa tukusaidieje?we ni walewale tu malaya wa kimboka au lambo bar manzese
 
Namuangalia tuu...
Halafu unaonekana mpole. Umeandika kistaarabu hadi nashindwa kushauri chochote
 
Sasa mamie umechepuka ili udange na kujengea wanao? Ama umechepuka kwa sababu unatafuta furaha uliyoipoteza kwa sababu ya kuletewa mtoto wa nje?

Kuwa na mahusiano na mtu kwa ajili ya kupata kitu ni kudanga. Hakuna lugha laini ya kuelezea hii. Shughulikia hayo maumivu kabla hayajakupa madhara. Na upige hesabu zako pia, mumeo akigundua tu akiamua kukuacha plan b yako imekaaje? Unaongelea uzuri kwamba kijana hawezi kukukataa, watu hawaangalii uzuri wa mtu!
 
Na wanakuwa mashoga
 
Ukifikia finishing na interior decors chepuka na mimi utanishukuru baadae
 
Muwe mnaangalia na watu wa kuwaoa
 
Ukitulia na kuyafanya maisha yaendelee utakosa nini?Tulia na uache kuwaza kuonewa.Tunaishi dunia hii na watu wenye magego.Ni ngumu ila tulia.
 
Hivi kuna mtu kaona namna uandishi wa hawa wanaojiita wanawake wanaosaliti waume zao unafanana sana, hadi makosa ya kiuandishi..??
Hahahaa hao joining today kisha anaachia uzi wa kuwaponda wanaume, ni acc za kimkakati kuharibu sifa za wanaume.
 
Pole sana inasikitisha Sheitani anavyo kuhadaa
 
Mimi naona km bado una maumivu, kwanini usiombe talaka ukaondoka ili ukawe na amani! Sababu hii ya kuchepuka mbele mumeo akijua anaweza kukuua, mkaacha watoto yatima.

Wanaume wanapenda wao ndio wawe wanatoka sio mke. Na unavyosema mumeo ndio final say ipo siku atakunyonga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…