Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

Unaonekana una ka nature kaumalaya tu, sema umetafuta excuse ya kujieleza hapa jf, ungeachana na mumeo hapo tungekuona shujaa, ila ni tabia uliyonaya nna mashaka hata kabla ya kuolewa na mumeo.
Unautumia uzuri wako economically and financially, sema tu sa hivi umepata sababu ya kanzishia uzi wa katabia kako.
Hao watoto wawili wa kike sidhani kama ni wa mumeo.
Tuliosomea Russia tushaelewa.
 
Tangu kuchepuka kwako umewahi kusahau hayo maumivu ya kuletewa mtoto wa nje??
Mimi nimemuelewa kuwa hawezi kusahau hayo maumivu, badala yake anatafuta wanaume wa kuchepuka naye halafu awapige vizinga akamalizie nyumba.

Si umeona yule mzee aliyehamishiwa Dom alimsaidia msingi hadi boma...!!
 
Anatafuta uhalali wa kuendelea kukazwa.
Huu ni ugonjwa. Unaanza pale binti akiwa shule na kuanza zinaa.

Mtoto wa kike akianza zina mwisho huwa malaya. Na haya ndio matokeo yake.

Ndio maana tunaamini mtoto wa kike ana haki ya kuolewa huku unaendelea na masomo ili kumuepusha na hili jinamizi la umalaya.

Hali hii ya umalaya ni ya kimfumo. Hivyo wote wawili ni kizazi cha unalaya.


Haya ulifanyie nini mtachepuka tu.

Nina mwaka wa 10 toka nimeoa sijachuka. Na juzi niliachiwa msichana wa kazi niishi nae mke akiwa kapata safari.

Kakaa siku 3 tu, siku ya nne nimemwambia arudi kwao. Kwani sheria hairuhu kukaa tukiwa wawili pekee. Ni baada ya kuona naanza kumtamani.


Jana nimesoma twitter mwanamke kefanya umalaya hadi kazaa. Sasa kapata mchumba ambae kwanza alimficha. Baadae akajamwambia ana mtoto. Mwanamme kamtema. Mwanamke anamshangaa kwa kosa gn anatamwa. Anauliza kwanini ninyi wanaume hampendi watoto wa wenzenu.

Jilo ndilo jinamizi la umalaya.

Huku dume kuleta mtoto demu kafungulia.

Kule demu katambulisha mtoto dume kaachia.

Waungwa wanaoamini mke wa mtu...... hyams hiyo imejileta. Kisu chako tu.
 
Umefanya vzuri kupambana kwa ajili ya watoto wako.
Hatua ulofikia achana na huyo kijana baki na huyo mume wako uendelee kumalizia hizo nyumba taratibu.
Akimrithisha huyo wa nje na ww utakua unachakuwarithisha wa kwako.
Usikubali wa kwako kuharibikiwa kwa sabb hata huyo mwanamke mwenzio hatakubali huyo wa kwake kuharibikiwa.
Ila tu kua mama mzuri kwa watoto wote wa ndani na wa nje, utaona Mungu atakavo kufungulia njia.
 
Ndoa haziko straight hivyo...kwamba unaamua kufanya lolote at any time t...
Huu ni urongoo...
 
Wanaume mnaumizwa sana na usaliti wa namna hii.
Nawajua mnaumia sana
Wewe umevurugwa,endelea kutafuta mwanamme mwingine akununulie gari,yaani utom.b.e she *** kma yako Mimi niumie!?

Kwangu mimi ni kufukuza kwangu ili UK.t.ombeshe vizuri,eti wanaume wanaumia, wa wapi wewe, ehhe we wapi!?
 
Mwisho wa siku kinachotafutwa ni furaha. Kama furaha unaipata nje nenda kaitafute. Pia kumbuka watoto wanahitaji furaha zaidi. Sema yakibumburuka ndo pale mnagawana ofisi za serikali kama usemavyo mtaa.
 
Pole.

Ila mmeo anastahili pole zaidi, sababu afanya mambo ya kumletea uharibifu zaidi.

Michepuko na mazao yote ya uchepukaji ni chukizo kubwa kwa Mungu.

Hosea 1:2-9
 
Mwenzako kafanya mapenzi nje kwa lengo la kukuza uzao, wewe unafanya nje kwa tamaa ya mali😁
 
Je huko kutoka kumekusaidia? Kama unataka visasi jino kwa jino kamwambie ukweli mumeo kuwa nawe unacheza kama yeye. Ila katika vita hii unaweza kuumia zaidi ya huyo mhuni wako. Kama mna watoto ndiyo watakaolipia
 
Mbinu unazotumia hazikusaidii zaidi ya kukuitia shida zaidi, yaani shetani unapambana nae kwa wewe kumvaa shetani pia, utakufa vibaya na aliyetakiwa kufa vibaya alikua ni mwanaume wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mme wako ni mkoloni ulimkubaliaje
 
Toka uanze kubong'olewa huko nje hasira zimeisha, hata hivyo kama kitu jamaa hakijui jua kabisa unajiumiza wewe na yeye haumii lolote. Ukitaka aumie kama ambavyo wewe uliumia siku moja mwambie na mimi nina mchepuko wangu unanisaidia kujenga nyumba. Tofauti na hapo unaumiza papuchi zakobtu na hakuna mtu atakuja kuumia ila uchi wako tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…