Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

Umeleta uzi wako unataka upewe ushauri wa namna gani?. Majibu yote na njia unayoitaka kupita maamuzi unayo tayari...
Kiufupi ww ni danga tu km danga wengine hapa mjini!.,. Eti atanisaidia, kweli?!. Hiyo familia yenu kama naiona inavyoenda kusambaratika maana ndo aina ya maisha mliyoamua kuyaishi, maisha ya uzinzi.
Usisahau kutujulisha pia mtakapoingia kwenye gridi ya Taifa.
Ungeshirikisha waliowafungisha ndoa hayo maumivu unayopitia na km ni ndoa ukaivunja mapema kisha ukaenda na njia uliyoamua kupita....
Ninaona bovu zenu hapa , uwa mnaumia sana wake wenu tukitoka nje lkn nyie unakula tuu nje huko.
Leteni maneno yenu hayo.
 
Ulisharithi hiyo tabia ya uzinzi toka mtoto aidha Kwa mama au ndugu zako wa karibu....ilikuwa inatafuta sababu tu ya kujitokeza/kulipuka.

Kwa asili wewe ni wale wanawake wanaowinda wanaume.
 
Achana nae huyo wee enjoy de libolo....mbususu suo kitu cha kunyima mtu bwana na mwanaume atakaye vunja ndoa kisa mke wake ametombwer huyo ni mjinga kuliko wajinga wote duniani
 
Imekuchoma nyuzi zenu mnazizileta hapa , na nyie tusemeje.
Makahaba mliokubuu au kuwaitaje malaya mlikubuu
 
Yes najua hilo ila kuchepuka hatakuja kujua kwa asilimia 100 kwani najua life style yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…