Mume wangu ananipa Kila kitu kasoro kitu kimoja tu. Nishaurini nataka kuvunja hii ndoa

Mume wangu ananipa Kila kitu kasoro kitu kimoja tu. Nishaurini nataka kuvunja hii ndoa

Nimeolewa lakini sifurahii ndoa yangu kabisa, nilichokitegemea kwenye ndoa si ninachokipata. Mimi ni binti wa miaka 24, nimeolewa na mume wangu ni askari, yeye ni polisi wa kata hivyo tuko huku Songea ni kijijini sana. Huyu kaka wakati nakutana naye tulikuwa Arusha ila akaja kuhamishwa huku kipindi ndiyo tuko kwenye mchakato wa ndoa.

Sikuona shida kwani niliamini kwa kuwa ni kazi ya serikali basi atapata uhamisho. Baada ya ndoa ndiyo nikaja huku, mimi ndiyo nimeamaliza chuo hivyo sina kazi najaribu kuomba lakini sijapata.

Hali ya huku ni ya shida kweli siwezi kuishi maisha haya, umeme upo lakini ni ile sehemu ambayo ukiingia ndani ni umeingia, hakuna cha kusema utokea uongee na majirani kila mmoja yuko shambani sijui ana mambo yake. Kwanza nyumba zenyewe ni za mbali mbali, na kupata nyumba ya maana ni changamoto sana kama unavyojua vijijini

Nikimuambia mwanaume kuhusu kuhama ananiambia ndiyo kwanza kahamishwa hawezi kupata tena uhamisho. Nimejikuta nimekuwa mtu wa hasira, yaani kila siku tunagombana, mume wangu anajitahidi kunisawazisha lakini siwezi, namkasirikia tu bila sababu kitu ambacho sikipendi.

Nimemuambia mimi angalau anitafutie nyumba mjini awe anakuja lakini hataki kwa sababu ni mbali sana, kutoka alipo mpaka mjini ni siku nzima na usafiri ni wa shida, ndoa ina miezi 8 mwanamume anataka mtoto lakini siko tayari kuzaa kwenye mazingira haya, ni bora kuachana lakini sijui namuachaje mwanamume ambaye hajawahi kunikosea!
usijaribu huo ujinga kabisa,naomba unifunze kwa jakaya kikwete,mke wa kwanza mama ridhwani,alimuacha jk kwakuwa alihamishiwa masasi,akadai hivyohivyo unavyodainwewe jk akampa talaka akapata mwalimu salma,sasa baadae jk kawa rais wa nchi,acha huo upumbavu,ongea na mumeo vizuri upate cha kufanya huko kijijini
 
Nimeolewa lakini sifurahii ndoa yangu kabisa, nilichokitegemea kwenye ndoa si ninachokipata. Mimi ni binti wa miaka 24, nimeolewa na mume wangu ni askari, yeye ni polisi wa kata hivyo tuko huku Songea ni kijijini sana. Huyu kaka wakati nakutana naye tulikuwa Arusha ila akaja kuhamishwa huku kipindi ndiyo tuko kwenye mchakato wa ndoa.

Sikuona shida kwani niliamini kwa kuwa ni kazi ya serikali basi atapata uhamisho. Baada ya ndoa ndiyo nikaja huku, mimi ndiyo nimeamaliza chuo hivyo sina kazi najaribu kuomba lakini sijapata.

Hali ya huku ni ya shida kweli siwezi kuishi maisha haya, umeme upo lakini ni ile sehemu ambayo ukiingia ndani ni umeingia, hakuna cha kusema utokea uongee na majirani kila mmoja yuko shambani sijui ana mambo yake. Kwanza nyumba zenyewe ni za mbali mbali, na kupata nyumba ya maana ni changamoto sana kama unavyojua vijijini

Nikimuambia mwanaume kuhusu kuhama ananiambia ndiyo kwanza kahamishwa hawezi kupata tena uhamisho. Nimejikuta nimekuwa mtu wa hasira, yaani kila siku tunagombana, mume wangu anajitahidi kunisawazisha lakini siwezi, namkasirikia tu bila sababu kitu ambacho sikipendi.

Nimemuambia mimi angalau anitafutie nyumba mjini awe anakuja lakini hataki kwa sababu ni mbali sana, kutoka alipo mpaka mjini ni siku nzima na usafiri ni wa shida, ndoa ina miezi 8 mwanamume anataka mtoto lakini siko tayari kuzaa kwenye mazingira haya, ni bora kuachana lakini sijui namuachaje mwanamume ambaye hajawahi kunikosea!
Matako wewe endelea utajuta nakuambia.
 
Nimeolewa lakini sifurahii ndoa yangu kabisa, nilichokitegemea kwenye ndoa si ninachokipata. Mimi ni binti wa miaka 24, nimeolewa na mume wangu ni askari, yeye ni polisi wa kata hivyo tuko huku Songea ni kijijini sana. Huyu kaka wakati nakutana naye tulikuwa Arusha ila akaja kuhamishwa huku kipindi ndiyo tuko kwenye mchakato wa ndoa.

Sikuona shida kwani niliamini kwa kuwa ni kazi ya serikali basi atapata uhamisho. Baada ya ndoa ndiyo nikaja huku, mimi ndiyo nimeamaliza chuo hivyo sina kazi najaribu kuomba lakini sijapata.

Hali ya huku ni ya shida kweli siwezi kuishi maisha haya, umeme upo lakini ni ile sehemu ambayo ukiingia ndani ni umeingia, hakuna cha kusema utokea uongee na majirani kila mmoja yuko shambani sijui ana mambo yake. Kwanza nyumba zenyewe ni za mbali mbali, na kupata nyumba ya maana ni changamoto sana kama unavyojua vijijini

Nikimuambia mwanaume kuhusu kuhama ananiambia ndiyo kwanza kahamishwa hawezi kupata tena uhamisho. Nimejikuta nimekuwa mtu wa hasira, yaani kila siku tunagombana, mume wangu anajitahidi kunisawazisha lakini siwezi, namkasirikia tu bila sababu kitu ambacho sikipendi.

Nimemuambia mimi angalau anitafutie nyumba mjini awe anakuja lakini hataki kwa sababu ni mbali sana, kutoka alipo mpaka mjini ni siku nzima na usafiri ni wa shida, ndoa ina miezi 8 mwanamume anataka mtoto lakini siko tayari kuzaa kwenye mazingira haya, ni bora kuachana lakini sijui namuachaje mwanamume ambaye hajawahi kunikosea!
1. Ww ni utoto unakusumbua nasikitika akili yako bado changa ingawa una umri mkubwa

2. Kwa jinsi ulivyoandika in detail as if huyo jamaa hajui kitu kinaitwa jf kama jamaa yupo humu jf sijui itakuwaje
 
Nimeolewa lakini sifurahii ndoa yangu kabisa, nilichokitegemea kwenye ndoa si ninachokipata. Mimi ni binti wa miaka 24, nimeolewa na mume wangu ni askari, yeye ni polisi wa kata hivyo tuko huku Songea ni kijijini sana. Huyu kaka wakati nakutana naye tulikuwa Arusha ila akaja kuhamishwa huku kipindi ndiyo tuko kwenye mchakato wa ndoa.

Sikuona shida kwani niliamini kwa kuwa ni kazi ya serikali basi atapata uhamisho. Baada ya ndoa ndiyo nikaja huku, mimi ndiyo nimeamaliza chuo hivyo sina kazi najaribu kuomba lakini sijapata.

Hali ya huku ni ya shida kweli siwezi kuishi maisha haya, umeme upo lakini ni ile sehemu ambayo ukiingia ndani ni umeingia, hakuna cha kusema utokea uongee na majirani kila mmoja yuko shambani sijui ana mambo yake. Kwanza nyumba zenyewe ni za mbali mbali, na kupata nyumba ya maana ni changamoto sana kama unavyojua vijijini

Nikimuambia mwanaume kuhusu kuhama ananiambia ndiyo kwanza kahamishwa hawezi kupata tena uhamisho. Nimejikuta nimekuwa mtu wa hasira, yaani kila siku tunagombana, mume wangu anajitahidi kunisawazisha lakini siwezi, namkasirikia tu bila sababu kitu ambacho sikipendi.

Nimemuambia mimi angalau anitafutie nyumba mjini awe anakuja lakini hataki kwa sababu ni mbali sana, kutoka alipo mpaka mjini ni siku nzima na usafiri ni wa shida, ndoa ina miezi 8 mwanamume anataka mtoto lakini siko tayari kuzaa kwenye mazingira haya, ni bora kuachana lakini sijui namuachaje mwanamume ambaye hajawahi kunikosea!
Hili ndio Tatizo la kuoa mwanamke mdangaji
 
Nimeolewa lakini sifurahii ndoa yangu kabisa, nilichokitegemea kwenye ndoa si ninachokipata. Mimi ni binti wa miaka 24, nimeolewa na mume wangu ni askari, yeye ni polisi wa kata hivyo tuko huku Songea ni kijijini sana. Huyu kaka wakati nakutana naye tulikuwa Arusha ila akaja kuhamishwa huku kipindi ndiyo tuko kwenye mchakato wa ndoa.

Sikuona shida kwani niliamini kwa kuwa ni kazi ya serikali basi atapata uhamisho. Baada ya ndoa ndiyo nikaja huku, mimi ndiyo nimeamaliza chuo hivyo sina kazi najaribu kuomba lakini sijapata.

Hali ya huku ni ya shida kweli siwezi kuishi maisha haya, umeme upo lakini ni ile sehemu ambayo ukiingia ndani ni umeingia, hakuna cha kusema utokea uongee na majirani kila mmoja yuko shambani sijui ana mambo yake. Kwanza nyumba zenyewe ni za mbali mbali, na kupata nyumba ya maana ni changamoto sana kama unavyojua vijijini

Nikimuambia mwanaume kuhusu kuhama ananiambia ndiyo kwanza kahamishwa hawezi kupata tena uhamisho. Nimejikuta nimekuwa mtu wa hasira, yaani kila siku tunagombana, mume wangu anajitahidi kunisawazisha lakini siwezi, namkasirikia tu bila sababu kitu ambacho sikipendi.

Nimemuambia mimi angalau anitafutie nyumba mjini awe anakuja lakini hataki kwa sababu ni mbali sana, kutoka alipo mpaka mjini ni siku nzima na usafiri ni wa shida, ndoa ina miezi 8 mwanamume anataka mtoto lakini siko tayari kuzaa kwenye mazingira haya, ni bora kuachana lakini sijui namuachaje mwanamume ambaye hajawahi kunikosea!
watoto wa 2000 ni shida sana
tafuta shamba lima
 
Wanawake siku mkijua mnataka nini ndio itakuwa mwisho wa dunia.
 
Nimeolewa lakini sifurahii ndoa yangu kabisa, nilichokitegemea kwenye ndoa si ninachokipata. Mimi ni binti wa miaka 24, nimeolewa na mume wangu ni askari, yeye ni polisi wa kata hivyo tuko huku Songea ni kijijini sana. Huyu kaka wakati nakutana naye tulikuwa Arusha ila akaja kuhamishwa huku kipindi ndiyo tuko kwenye mchakato wa ndoa.

Sikuona shida kwani niliamini kwa kuwa ni kazi ya serikali basi atapata uhamisho. Baada ya ndoa ndiyo nikaja huku, mimi ndiyo nimeamaliza chuo hivyo sina kazi najaribu kuomba lakini sijapata.

Hali ya huku ni ya shida kweli siwezi kuishi maisha haya, umeme upo lakini ni ile sehemu ambayo ukiingia ndani ni umeingia, hakuna cha kusema utokea uongee na majirani kila mmoja yuko shambani sijui ana mambo yake. Kwanza nyumba zenyewe ni za mbali mbali, na kupata nyumba ya maana ni changamoto sana kama unavyojua vijijini

Nikimuambia mwanaume kuhusu kuhama ananiambia ndiyo kwanza kahamishwa hawezi kupata tena uhamisho. Nimejikuta nimekuwa mtu wa hasira, yaani kila siku tunagombana, mume wangu anajitahidi kunisawazisha lakini siwezi, namkasirikia tu bila sababu kitu ambacho sikipendi.

Nimemuambia mimi angalau anitafutie nyumba mjini awe anakuja lakini hataki kwa sababu ni mbali sana, kutoka alipo mpaka mjini ni siku nzima na usafiri ni wa shida, ndoa ina miezi 8 mwanamume anataka mtoto lakini siko tayari kuzaa kwenye mazingira haya, ni bora kuachana lakini sijui namuachaje mwanamume ambaye hajawahi kunikosea!
Si bure umerogwa
 
Kama ni ndoa ya Kikristo kumbuka kile kiapo! Katika shida,katika mabonde,katika dhiki,magonjwa tutakuwa pamoja!
Msikilize Mmeo anasemaje!
 
downloadfile.jpg
 
Hii mambo mnanyofoa story za watu insta afu mnaleta huku muwage mnasema, ona sasa mwanaume unaonekana kama mwanamke.
 
Hivi kumbe kuna mabinti wa kiume wenye majina ya kiume kabisa. BTW acha umalaya ewe dada
 
George Aloyce ni lini serikali iliruhusu mwanaume kuwa na mume wake?
Bro unajiona unajua ila wewe na wote walio like nasikitika kuwaambia akili zenu zipo mbali sana nyie ndio wale wanafunzi kuelewa hadi fimbo nyingi sana .

Huyo jamaa atakua na page ambayo wanawake wapo huru kutoa ya moyoni na yeye ni mwanaume ila anakopi kule na kuwaletea huku.

Mbona jamaa anacheza kete rahisi hivi....?kwa nini wazito hivyo kuusoma mchezo
 
Nimeolewa lakini sifurahii ndoa yangu kabisa, nilichokitegemea kwenye ndoa si ninachokipata. Mimi ni binti wa miaka 24, nimeolewa na mume wangu ni askari, yeye ni polisi wa kata hivyo tuko huku Songea ni kijijini sana. Huyu kaka wakati nakutana naye tulikuwa Arusha ila akaja kuhamishwa huku kipindi ndiyo tuko kwenye mchakato wa ndoa.

Sikuona shida kwani niliamini kwa kuwa ni kazi ya serikali basi atapata uhamisho. Baada ya ndoa ndiyo nikaja huku, mimi ndiyo nimeamaliza chuo hivyo sina kazi najaribu kuomba lakini sijapata.

Hali ya huku ni ya shida kweli siwezi kuishi maisha haya, umeme upo lakini ni ile sehemu ambayo ukiingia ndani ni umeingia, hakuna cha kusema utokea uongee na majirani kila mmoja yuko shambani sijui ana mambo yake. Kwanza nyumba zenyewe ni za mbali mbali, na kupata nyumba ya maana ni changamoto sana kama unavyojua vijijini

Nikimuambia mwanaume kuhusu kuhama ananiambia ndiyo kwanza kahamishwa hawezi kupata tena uhamisho. Nimejikuta nimekuwa mtu wa hasira, yaani kila siku tunagombana, mume wangu anajitahidi kunisawazisha lakini siwezi, namkasirikia tu bila sababu kitu ambacho sikipendi.

Nimemuambia mimi angalau anitafutie nyumba mjini awe anakuja lakini hataki kwa sababu ni mbali sana, kutoka alipo mpaka mjini ni siku nzima na usafiri ni wa shida, ndoa ina miezi 8 mwanamume anataka mtoto lakini siko tayari kuzaa kwenye mazingira haya, ni bora kuachana lakini sijui namuachaje mwanamume ambaye hajawahi kunikosea!
Ujinga umepata mjinga
 
Nimeolewa lakini sifurahii ndoa yangu kabisa, nilichokitegemea kwenye ndoa si ninachokipata. Mimi ni binti wa miaka 24, nimeolewa na mume wangu ni askari, yeye ni polisi wa kata hivyo tuko huku Songea ni kijijini sana. Huyu kaka wakati nakutana naye tulikuwa Arusha ila akaja kuhamishwa huku kipindi ndiyo tuko kwenye mchakato wa ndoa.

Sikuona shida kwani niliamini kwa kuwa ni kazi ya serikali basi atapata uhamisho. Baada ya ndoa ndiyo nikaja huku, mimi ndiyo nimeamaliza chuo hivyo sina kazi najaribu kuomba lakini sijapata.

Hali ya huku ni ya shida kweli siwezi kuishi maisha haya, umeme upo lakini ni ile sehemu ambayo ukiingia ndani ni umeingia, hakuna cha kusema utokea uongee na majirani kila mmoja yuko shambani sijui ana mambo yake. Kwanza nyumba zenyewe ni za mbali mbali, na kupata nyumba ya maana ni changamoto sana kama unavyojua vijijini

Nikimuambia mwanaume kuhusu kuhama ananiambia ndiyo kwanza kahamishwa hawezi kupata tena uhamisho. Nimejikuta nimekuwa mtu wa hasira, yaani kila siku tunagombana, mume wangu anajitahidi kunisawazisha lakini siwezi, namkasirikia tu bila sababu kitu ambacho sikipendi.

Nimemuambia mimi angalau anitafutie nyumba mjini awe anakuja lakini hataki kwa sababu ni mbali sana, kutoka alipo mpaka mjini ni siku nzima na usafiri ni wa shida, ndoa ina miezi 8 mwanamume anataka mtoto lakini siko tayari kuzaa kwenye mazingira haya, ni bora kuachana lakini sijui namuachaje mwanamume ambaye hajawahi kunikosea!
Mwanamke mpumbavu sana wewe, unataka kwenda mjini kufanya nini? Unataka nyumba ziwe karibu ili iweje?
Shida sana kuoa vodada vya chuo hata maisha havijui.
 
Sijui nawaza ujinga maana nilivyosoma heading nikajua mume wake hapigi paipu vzur... Wazee wa peleka moto huwa tunawaza ujinga ujinga tu....
 
Back
Top Bottom