Mume wangu hapendi kula nyumbani

Samahani dada unazungumzia chakula gani kwanza?
Jee anajua kuhusu wanaokuja kula na kukusifia?
 
Chakula cha mumeo unatoa mpaka kwa wageni?
Huyo atakuwa anagonga nje kwako kimoja tosha kabisa
 
Pika Koronya, Chuzi Shatashata Nazi Saba, Acha Kupwaza Kule Moshi Wanaita Manjiriri! Weka Mboga Saba, Wakati Mwingine Unaweza Kuona Unajua Kumbe Laa


VP Mwanzo Ilikuwaje
 
Wana muda gani?
Kutafuta formula katika ndoa huanza hasa baada ya kupata mtoto kama ni extrovert, ila introvert inaweza kuchukua hata miaka 5 au zaidi. Maana hapo uhalisia wa kila mtu ndipo huanzia
 
Hata mpishi atoke mbinguni kuna vyakula mtu alietoka kunywa pombe hawezi kula

Mi sijui nina nyongo gani, nikitoka kulewa nikiwa na njaa hata dona maharage nakula ila isiwe tu kabeji(Kabichi)

Nyakati fulani na masela wangu tukiwa "uboizini"tulikuwa tunaenda kulewa vijijini, ule ugali tulikuwa tunakinga saa 12 jioni na kuufungia kwenye matranka, hata nikirudi saa 6 usiku nilikuwa nakula tu, na asubuhi naamka fresh,hakuna cha hangover wala nini na paredi nawahi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…