Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kupindapinda....na hili ndo jibu sahihiMmeo ana nyumba ndogo
Miss Chuga story za ndoa yake zipo Sana hii ndoa aliifosi Sasa inamrudia...Maisha ya ndoa kazi sana dadeq
Imajini anayewaziwa hali chakula cha nyumbani ni mtu mzima kabisa
Samahani dada unazungumzia chakula gani kwanza?Habari zenu wapendwa?
Naombeni msaada Mume wangu amekuwa pasua kichwa hapendi kula nyumbani, najua kupika nampikia vyakula vizuri lakini akija anakula tu kidogo anaacha wakati mwingine hali kabisa ukimuliza hana sababu.
Mwanzo nilijua labda napika vibaya lakini siyo maana watu wengine wakila hata wageni wanakifurahia sana chakula mpaka wananisifia najua kupika Ila mme wangu ndo tatizo anaweza akala hata vijiko 5 akasema ameshiba.
Hii hali kwakweli inaniumiza sana akili na uzuri ana mwili nahisi labda atakuwa anakula uko nje akija anakuwa labda ameshiba maana ka jinsi anavyokula hapa ndani alitakiwa awe hana hata afya yani kwa kifupi ni Kama tu hali Ila anagusagusa Kuna wakati hadi nawaza sijui kalogwa.
Sio chai hii ndoa ubavu sio wake lazima umchome TU[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji4]Ukisoma mada zilizopita za huyu dada utagundua either Plug hazichomi vizuri au anatunywesha chai usiku
View attachment 2482865
Kwa mentality uliyo nayo utaendelea kuteseka sana.anaonja onja tu ndo maana simuelewi hizi ndoa tunaolewa tu kuweka heshima Ila ni mateso tu Bora mtu ubaki single
Chakula cha mumeo unatoa mpaka kwa wageni?Habari zenu wapendwa?
Naombeni msaada Mume wangu amekuwa pasua kichwa hapendi kula nyumbani, najua kupika nampikia vyakula vizuri lakini akija anakula tu kidogo anaacha wakati mwingine hali kabisa ukimuliza hana sababu.
Mwanzo nilijua labda napika vibaya lakini siyo maana watu wengine wakila hata wageni wanakifurahia sana chakula mpaka wananisifia najua kupika Ila mme wangu ndo tatizo anaweza akala hata vijiko 5 akasema ameshiba.
Hii hali kwakweli inaniumiza sana akili na uzuri ana mwili nahisi labda atakuwa anakula uko nje akija anakuwa labda ameshiba maana ka jinsi anavyokula hapa ndani alitakiwa awe hana hata afya yani kwa kifupi ni Kama tu hali Ila anagusagusa Kuna wakati hadi nawaza sijui kalogwa.
Kumbuka alishalalamika kuhusu na hicho! Unakumbuka DemiVp na kile chakula kingine cha usiku anakulaa fresh au nacho anaonja onjaa tuu madam.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau bado Wapo katika phase ya kutafuta formula! Katika ndoa hiki ni kipindi kigumu sana, msipokuwa waangalifu mnaachanaNakumbuka vizuri.
Huyu mwenzetu ana matatizo.
Wana muda gani?Usisahau bado Wapo katika phase ya kutafuta formula! Katika ndoa hiki ni kipindi kigumu sana, msipokuwa waangalifu mnaachana
Au Inatumia Coil Labda Moja HaichomiUkisoma mada zilizopita za huyu dada utagundua either Plug hazichomi vizuri au anatunywesha chai usiku
View attachment 2482865
Kutafuta formula katika ndoa huanza hasa baada ya kupata mtoto kama ni extrovert, ila introvert inaweza kuchukua hata miaka 5 au zaidi. Maana hapo uhalisia wa kila mtu ndipo huanziaWana muda gani?
Hata mpishi atoke mbinguni kuna vyakula mtu alietoka kunywa pombe hawezi kula