Ngumu kinyama!Na experience zenyewe ni ngumu balaa
Ndo avumulie sasa Mrs kama Mrs[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anataka status ya "Mrs fulaani"
Uwiiiiiih.
Kama ana tabia ulizosema basi ana haki ya kupata anachopataNimeisoma itakua kuna tabia mbaya alizionyesha baada ya yy kutolewa mahari labda dharau...thats why mama mkwe akawa hataki tena...na kaka amefosi kuoa naona labda sasa na yy ndo anayaona...itakua huyu bi dada hana heshima ana mdomo mchafu...
Basi ajikaze moyo wa chuma Manka wa watu 😂WA Chuga wanaachika sasaa
Aje ajitetee miss chugaNimeisoma itakua kuna tabia mbaya alizionyesha baada ya yy kutolewa mahari labda dharau...thats why mama mkwe akawa hataki tena...na kaka amefosi kuoa naona labda sasa na yy ndo anayaona...itakua huyu bi dada hana heshima ana mdomo mchafu...
Una bahatiii[emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]depal aje ajifunze nyama choma
Miss chuga Mungu ampe hekima na busara ktk hili
Nilisusiwa kula siku Moja Tena ilikua hivi katoka kachelewa kurudi akakuta nshakula(utaratibu ni kula pamoja)we akagoma kula kasusa,dogo nilitupa sahani na vyakula nikapiga teke bwana wee[emoji38][emoji38][emoji38]nilikumbatiwa Kwa nguvu nkaombwa msamaha na sikussusiwa Tena ht nitoe boko
Nimeipenda hii idea. Ngoja niichukue🤣Anza kumpikia vyakula vinavyopikwa bar kama mchemsho, kongoro, supu ya mkia, ulimi, mishkaki, mbuzi choma uone kama atachomoa!
Mdogo wangu tatizo bado una wenge sana.anaonja onja tu ndo maana simuelewi hizi ndoa tunaolewa tu kuweka heshima Ila ni mateso tu Bora mtu ubaki single
Kwani unazungumzia chakula gani? Maana nyie wakubwa mnakuaga na macodes sana,mtu unaweza fikiri kinazungumziwa wali mandondo kumbe wakubwa mnamaanisha POPO KANYEA MBINGUyani hakuna kitu kinaumiza Kama unapika akili yako yote unaiweka jikoni ili mmeo afurahie chakula alafu analambalamba anaacha na nina uhakika atakuwa anakula uko nje coz akija anakuwa na kitambi pia ana afya nzuri tu yani kwa jinsi anavyogusa gusa chakula angekuwa Hali nje angekuwa na afya ya mgogoro sana
Ndo maana nimesema "inaweza" pia ukute wala hayuko hivyo..mambo haya bana ni nyota zikiendana..unakuta nyotabinaendana na mam mkwe yani automatically na mume anakukubali zaidiKama ana tabia ulizosema basi ana haki ya kupata anachopata
Lakini kuna wakwe wana gubu naturally
Bora ningethomeaga uthithtaa 😛Ndo maana nimesema "inaweza" pia ukute wala hayuko hivyo..mambo haya bana ni nyota zikiendana..unakuta nyotabinaendana na mam mkwe yani automatically na mume anakukubali zaidi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila bado saana.Ni rahisi km pia mwanaume humpendi huyu Bado anampenda siku akichoka hatosumbuka tena