[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au kuna ulaji hapooo, ndo maan hataki kutokaa.Wehu nyie ..Kanda ya kaskazini hyooo!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo avumulie sasa Mrs kama Mrs
Olewa yakukute [emoji1][emoji1][emoji1] chezea ndoa weye!!!Maisha ya ndoa kazi sana dadeq
Imajini anayewaziwa hali chakula cha nyumbani ni mtu mzima kabisa
Anza kumpikia vyakula vinavyopikwa bar kama mchemsho, kongoro, supu ya mkia, ulimi, mishkaki, mbuzi choma uone kama atachomoa!
🤣🤣🤣🤣Mtu asipokula tayari unahisi amerogwa 😁 kwann hujahisi labda ana minyoo
Mtamuua mwenzenu kwa presha🤣🤣🤣🤣msimfanye aanze kupekua simu ya mumewe aambulie kipigoUmesha pandishwa cheo, bi mkubwa kaa kwa password.
Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee[emoji23]Bina[emoji23][emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]depal aje ajifunze nyama choma
Miss chuga Mungu ampe hekima na busara ktk hili
Nilisusiwa kula siku Moja Tena ilikua hivi katoka kachelewa kurudi akakuta nshakula(utaratibu ni kula pamoja)we akagoma kula kasusa,dogo nilitupa sahani na vyakula nikapiga teke bwana wee[emoji38][emoji38][emoji38]nilikumbatiwa Kwa nguvu nkaombwa msamaha na sikussusiwa Tena ht nitoe boko
Ukweli ni kwamba Kuna mahali anakula anashiba ...akija kwako anatimiza wajibu tu.Habari zenu wapendwa?
Naombeni msaada Mume wangu amekuwa pasua kichwa hapendi kula nyumbani, najua kupika nampikia vyakula vizuri lakini akija anakula tu kidogo anaacha wakati mwingine hali kabisa ukimuliza hana sababu.
Mwanzo nilijua labda napika vibaya lakini siyo maana watu wengine wakila hata wageni wanakifurahia sana chakula mpaka wananisifia najua kupika Ila mme wangu ndo tatizo anaweza akala hata vijiko 5 akasema ameshiba.
Hii hali kwakweli inaniumiza sana akili na uzuri ana mwili nahisi labda atakuwa anakula uko nje akija anakuwa labda ameshiba maana ka jinsi anavyokula hapa ndani alitakiwa awe hana hata afya yani kwa kifupi ni Kama tu hali Ila anagusagusa Kuna wakati hadi nawaza sijui kalogwa.
Mbona hamsemi mume kuna mahali amekosea akachepuka kwenye chakula. Yani always kosa ni la mwanamke tuChunguza mwendo wako Kuna sehemu umemkosea.
Hapo ndo ndoa inapogeuka ushenzyy na gereza la kujipeleka mwenyeweMaisha ya ndoa kazi sana dadeq
Imajini anayewaziwa hali chakula cha nyumbani ni mtu mzima kabisa
Namuomba mumeo ...niazime japo kwa mwezi mmoja🤣🤣🤣[emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]depal aje ajifunze nyama choma
Miss chuga Mungu ampe hekima na busara ktk hili
Nilisusiwa kula siku Moja Tena ilikua hivi katoka kachelewa kurudi akakuta nshakula(utaratibu ni kula pamoja)we akagoma kula kasusa,dogo nilitupa sahani na vyakula nikapiga teke bwana wee[emoji38][emoji38][emoji38]nilikumbatiwa Kwa nguvu nkaombwa msamaha na sikussusiwa Tena ht nitoe boko