Mume wangu hapendi kula nyumbani

Mume wangu hapendi kula nyumbani

Anza kumpikia vyakula vinavyopikwa bar kama mchemsho, kongoro, supu ya mkia, ulimi, mishkaki, mbuzi choma uone kama atachomoa!



Nimecheka Kwa sauti [emoji23][emoji28]

Jamani imeshakuwa ni mtihani sasa.

Aanze kupajua machinjioni na minadani [emoji14][emoji14]
 
Kuna wanaume wanajua kula vizuri sana usipime [emoji108][emoji108]

Anajua cha nazi , mafuta n.k.

Anajua mchuzi leo haujatiwa ndimu [emoji108]

Anajua tui Leo halikupigwa ,

Anajua tui la nazi Leo halikuchemka na kuiva,

Anajua chukuchuku,

Anajua ugali ulosongwa ukasongeka [emoji108]

Baba yangu yupo hivyo pia.
 
Wanaume wengine wanapenda kula wali wa kupikia mkaa Au kuni ili upaliwe [emoji108]

Umwekee na ukoko ule wa chini na juu pembeni wengine huita mahaba!

Hata binafsi napenda hivyo sana!
 
Au weye ni miongoni mwa wale wanaopika kwa mwendokasi?

Wali kwa Rice cooker?

Nasikia siku hizi hizo rice cooker mnapikia kila kitu ?!

Eti dakika chache chakula kimeeiva [emoji848]
Halafu utarajie utamu halisi kweli?

Bongo sio America wala Ulaya ,

Mambo sio magumu kiivyo bana!

Tupike kiasili chetu, Tuienzi asili bila kujali mabadiliko ya kiteknolojia,

Kuna mambo hayapaswi kubadilika mfano kwenda chooni, kula, kupumua n.k
 
Umesha pandishwa cheo, bi mkubwa kaa kwa password.
Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtamuua mwenzenu kwa presha🤣🤣🤣🤣msimfanye aanze kupekua simu ya mumewe aambulie kipigo
 
[emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]depal aje ajifunze nyama choma
Miss chuga Mungu ampe hekima na busara ktk hili
Nilisusiwa kula siku Moja Tena ilikua hivi katoka kachelewa kurudi akakuta nshakula(utaratibu ni kula pamoja)we akagoma kula kasusa,dogo nilitupa sahani na vyakula nikapiga teke bwana wee[emoji38][emoji38][emoji38]nilikumbatiwa Kwa nguvu nkaombwa msamaha na sikussusiwa Tena ht nitoe boko
Aisee[emoji23]Bina[emoji23]
Ushauri wako huu utawaingiza watu mkenge.
 
Habari zenu wapendwa?

Naombeni msaada Mume wangu amekuwa pasua kichwa hapendi kula nyumbani, najua kupika nampikia vyakula vizuri lakini akija anakula tu kidogo anaacha wakati mwingine hali kabisa ukimuliza hana sababu.

Mwanzo nilijua labda napika vibaya lakini siyo maana watu wengine wakila hata wageni wanakifurahia sana chakula mpaka wananisifia najua kupika Ila mme wangu ndo tatizo anaweza akala hata vijiko 5 akasema ameshiba.

Hii hali kwakweli inaniumiza sana akili na uzuri ana mwili nahisi labda atakuwa anakula uko nje akija anakuwa labda ameshiba maana ka jinsi anavyokula hapa ndani alitakiwa awe hana hata afya yani kwa kifupi ni Kama tu hali Ila anagusagusa Kuna wakati hadi nawaza sijui kalogwa.
Ukweli ni kwamba Kuna mahali anakula anashiba ...akija kwako anatimiza wajibu tu.
Tufanyeje awe anakula home hyo ni topic nyingine
 
KUNA THREAD ULISHASEMA MUME WAKO ANATUMIA DAWA YA KUPUNGUZA UNENE WEWE BADALA YA KUMSAPOTI UNAMJAZIA MAVYAKULA, JUA TATIZO LA MMEO NA USMAPOTI, YAANI WE NI MBINAFSI HATARI
 
[emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]depal aje ajifunze nyama choma
Miss chuga Mungu ampe hekima na busara ktk hili
Nilisusiwa kula siku Moja Tena ilikua hivi katoka kachelewa kurudi akakuta nshakula(utaratibu ni kula pamoja)we akagoma kula kasusa,dogo nilitupa sahani na vyakula nikapiga teke bwana wee[emoji38][emoji38][emoji38]nilikumbatiwa Kwa nguvu nkaombwa msamaha na sikussusiwa Tena ht nitoe boko
Namuomba mumeo ...niazime japo kwa mwezi mmoja🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom