Mume wangu hapendi ndugu zangu

Wanawake linapokuja swala la ndugunzenunakua too emotional kiasi kwamba issue ya kawaida ya kusikilizana mnaifanya tofaouti kabisa. Jaribu kuwa msikivu na ondoa emotional umsukilize na umuulize kwa utulivu utapata solution.
Pia labda ya mmogo wako kuja hapo ulimshirikisha au ulifanya maamuzi ya upande mmoja au ulimshinikiza?
Kama alitoa approval yake sidhani kama angelalamikika .
Anachokiona pengine anaona unaweza kuwa mwamzo WA kuleta ukoo wako wote hapo kama hukuweka clear kwamba anakuja kufanya kwa sababu ipi.
Pia mdogo wako anawajibika hapo nyumbani au amekuja tu kumwomgezea house girl majukum.
Dunia imebadilika dada wanoume hatokubali imaya yake inngiliwe kirahisi au pia yupo cost conscious maana anaingia extra cost kumhudumia ndugu yako na pengine kipato chake hakikidhi, au pia usikute wewe mwenyew unaegemea zaidi upande WA nduguyo badaya ya kuwa fair.
Ukishaolewa familia yako ya kwnza ni wewe na mwenzi wako na waneno, hao ndio wanakua sababu ya hustle zenu.
Wengine ni wengi sana kuwasidia wote mtaharibu ikiwa Kila mtu atabase alikotoka.
 
Moyo wa mtu ni kichaka.
Usiamini unamjua.

Hawezi akaanza tu kumchukia mdogo wako bila sababu zilizojificha ndani ya uvungu wa moyo wake.
Kama mmesoma vizuri, mleta maada amesema huwa Binti anafanya makosa ambayo kwa kiasi Fulani jamaa an react na dada mtu anamtwtea binti kuwa binadamu huwa wanakosea.
 
daah, pole sana

hapo imebaki hatua mbaya zaidi, endeleeni kuomba na ikiwezekana mdogo ako ahame hapo alipo

allivyoweka chumvi huoni ni Mungu tu angeweza kuweka sumu? maisha haya jamaniiiii
Umemwamini huyu jamaa kabisa>
 
Vipi kuhusu hao ndugu wengine wanaokuja hapo kusalimia na anawatosa? Mimi siamini kwamba binti kamkataa, hapo issue ni gubu la mwamba, hataki ndugu wa mke waishi hapo.
Mi naona tatizo linaweza lisiwe ndugu za mke kuishi hapo tatizo ni namna wanavyokuja je.
Taarifa inatakiwa iwepo na idhini itoke kwa mume, sio from no where ndugu huyu hapa.
 
"naomba nikute siti ya kukaa" ,,[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyo kaka yetu ana roho mbaya.
Mpaka alisema hivyo inaonekana watu wanajazana na akiingia hawashituki wala kumpisha kiti. Mwamba inabidi aende chumbani
 
Nilishaelezea kuwa hamuhudumii kabisa
 
Mi naona tatizo linaweza lisiwe ndugu za mke kuishi hapo tatizo ni namna wanavyokuja je.
Taarifa inatakiwa iwepo na idhini itoke kwa mume, sio from no where ndugu huyu hapa.
Ni kweli, kuwe na mawasiliano nani anakuja, mume aridhie...sio mtu unashangaa tu nyumba imejaa wageni hukupewa taarifa wala kukubaliana
 
Pole sana pia hongera una mwandiko mzuri hii ina dhihirisha kuwa wew ni mzoefu .... lakini nlicho gundua ni kwamba hayo yote anayofanya mumeo ni tabia yake yaani yeye ndo yupo ivo ni aina ya watu ambao ni wabinafsi ... huyo ndogo wako ukikaa naye chini kwa siku zijazo atakwambia mengi ambayo kwa sasa siyo rahisi kukwambia sukuhisho lq haraka mtoe nduguyako hapo japo ni mamuzi magumu sana
 
Nashukuru sana nimekuelewa🙏 Anaondoka soon
 
pole my dear lakini usiendeshwe sana na hisia,kama ungekuwa huwezi kukaa mbali na huyo mdogo wako basi ni vyema usingeolewa ili uendelee kukaa naye.Kitu kingine mmeo kukaa na mdogo wako ni optional sio guarantee provided that hakuoa watu wawili.
kwa jinsi ulivohadithia nilitegemea ufanye uchunguzi wa siri ungeweza kubaini chochote,ni muhimu kuwa na assumptions na kuzifanyia kazi(kuwa mtu wa kureason kuliko kuendeshwa na hisia)yaani haiwezekani amchukie from no where lazima kuna kitu ether mmeo anamtaka alafu anamtolea nje au mdogo wako anamtaka mme wako(hapa naona hutaki kushughulisha ubongo wako unasema mdogo wako ni well disciplined,don't trust anyone).
USHAURI,sio ushauri tu bali ndo utaratibu mzuri,ndugu yako msaidie akiwa mbali sio lazima kukarabisha matatizo yasiyo ya msingi ameshakuwa mdada anajitambua kwa nini usimsaidie akiwa huko,(sababu za huyo kuendelea kukaa hapo sio za msingi).Pia umeshamjua mmewako na imedai kwako hana tatizo kwa nini usiendane naye?
 
Naona umepewa ushauri mwingi mzuri.

Mulipoanza kuishi kuanzia siku ya kwanza mkiwa ni mke na mume huyo mdogo wako mlikua nae au alikuja baadae? Na kama alikuja baadae ulimshirikisha mume wako na aliafiki swala hilo.

Kuna sehemu umesema mumeo hataki kumlea mdogo wako, mlizungumza kabla kwamba atakua pia na wajibu wa kuwalea ndugu zako na aliafiki?

Kumbuka kabla hajakuoa jukumu la kuwasaidia ndugu zake lilikua ni lake ambalo anaweza kuendelea nalo ,na jukumu la kumlea mke ni lake na umesema analitimiza,ila kuwasaidia ndugu zako sio sharti la ndoa ila ni msaada na hapaswi kulaumiwa.

Cha kufanya hivi sasa kaa na mume wako na umueleze umuhimu wa ndugu yako kuwa hapo na athari anazoweza kuzipata akiwa nje ya hapo,na usimueleze kama unampa maelekezo ila muoneshe kwamba unahitaji ushauri wake.
 
Na siku wakianza kucheka utakuja na uzi mwingine tena mrefu zaidi ya huu wenye huzuni na majuto makubwa sana.

Maana mwisho wa chuki ni upendo ......na mwisho wa upendo ni chuki.

Na utakia umechelewa sana.
 
Mpuuze mumeo fanya juu chini mpuuze Wala usimkasirikie Kama ni showw binuka HV
 
Jifanye kipofu huoni anayofanya, hiyo ndio hulka yake na huwez mbadilisha na ukijaribu mtaishia kugombana.
Ushamjua mumeo tembea na beat nduguzo wakija pambana nao mwenyewe na huyo mdogo wako ishi nae hivyo hivyo itafikia wakat ataondoka haya unayosimulia yatabakia story. Hao watu wapo kwenye jamii hawabadiliki ni Mungu pekee ndiye mwenye kuweza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…