Mume wangu hasimamishi, nifanyaje?!

Yesu weee
Kumbe alicholalamima huyu dada NI cha kweli jamaan
Kwanini lakini watoto wa Mungu wanateseka hivi kanisani??
Cc: Restless Hustler njoo SKILIZA majibu ya waenda Mbinguni
 
Weee, kumbe inawezekana?!
 
Ndoa inaweza kuvunjwa endapo mwanaume au mwanamke hawezi kushiriki tendo la ndoa. Na endapo mmoja anaonesha kulalamikia suala hilo ndoa inavunjwa vizuri tu.
 
Kwenye Kanisa Katoliki Ndoa Iko hivi

Mkianza kunjunjana tuu hiyo ni ndoa lakini si takatifu. Mkiamua mnaenda kanisani Kuitakatifuza/kubariki ndoa.

Mkienda mbele ya Kanisa kwanza mbele ya mashahidi kabla hamjajuaa Kimwili mnafanya ndoa takatifu. Ndoa hii iliyoanzia kanisani hukamilishwa na tendo la ndoa baadae.
Tendo la Ndoa likishindikana Ndoa inabatilishwa.

Udanganyifu wowote ukigundulika pia Ndoa yaweza Kubatilishwa.
Mf.
Mmoja wa wanandoa kuwa na watoto kabla na kutowataja. Ikigundulika baadae Ndoa huweza kubatilishwa.
Mmoja wa wanandoa kugundulika na magonjwa kama ukichaa n.k.
Ahadi za Uongozi
Kushindwa kutii kiapo Cha ndoa ikiwapo Cha "shida na raha".
Kuongeza mwanamke/mwanaume. Maana mkataba ni mme Mmoja Mke mmoja.

Hivyo Ndoa Ya Kikatoliki huweza kubatilishwa pia pale Uvumilivu na Upendo unapofika Ukomo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…