kampelewele
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 2,975
- 2,370
KweliHuyo mwanamke aanzishe safari nyingine tu
Haya mje sasa
Naona kumekucha
Haya MALALAMIKO nimeyapata Kwa dada alieolewa miezi 6 iliopita, kaolewa huko Kwa walokole
Kisa kinaenda hivi
Mlokole: Money penny me naumia Sana, huwezi amini tangu tuoane hatujawahi tembea pamoja kama MKE na mume
Money penny: Nini mbaya mami??
Mlokole: Mume hasimamishi nanii yake
Money penny: Kivipi?
Mlokole: unajua Sisi kabla hamjaolewa hairuhusiwi kuzini wala kujuana sehemu zenu za siri, nikavumilia na kutii maagizo ya kanisa, lakini tulipoongea Tu yupo honey moon nikajuà mwanaume hasimamishi, sijui nafanyaje na huu NI mwezi wa 6
Money penny: Umeenda kwa Mchungaji au wasimamizi WA ndoa wakasemaje?
Mlokole: wote wanasema ndoa haivunjwi kwasababu mwanaume hasimamishi kitakachovunja ndoa NI kifo tu na Mungu wenyewe Sisi haturuhusiwi
Sasa nifany
KASIMAME WEWEHaya mje sasa
Naona kumekucha
Haya MALALAMIKO nimeyapata Kwa dada alieolewa miezi 6 iliopita, kaolewa huko Kwa walokole
Kisa kinaenda hivi
Mlokole: Money penny me naumia Sana, huwezi amini tangu tuoane hatujawahi tembea pamoja kama MKE na mume
Money penny: Nini mbaya mami??
Mlokole: Mume hasimamishi nanii yake
Money penny: Kivipi?
Mlokole: unajua Sisi kabla hamjaolewa hairuhusiwi kuzini wala kujuana sehemu zenu za siri, nikavumilia na kutii maagizo ya kanisa, lakini tulipoongea Tu yupo honey moon nikajuà mwanaume hasimamishi, sijui nafanyaje na huu NI mwezi wa 6
Money penny: Umeenda kwa Mchungaji au wasimamizi WA ndoa wakasemaje?
Mlokole: wote wanasema ndoa haivunjwi kwasababu mwanaume hasimamishi kitakachovunja ndoa NI kifo tu na Mungu wenyewe Sisi haturuhusiwi
Sasa nifanyaje?
Msaidieni binti WA watu afanyaje
Amini hivo we ktk makuzi yake kama kitovu kiliangukia ktk mboo yke abadani haitaweza simama isipokua mama yake ndio tiba ya mwishosio kweli
Upo sahihi...ndoa hii ni halali Kuibatilisha...wala si dhambiKWELI HATURUHUSIWI KUZINI WA KRISTO ILA KABLA YA NDOA YA KIKRISTO KUFUNGWA LAZIMA SWALA LA AFYA LA WAPENDANAO , PAMOJA NA UWEPO WA HAKI YA NDOA (TENDO) LINAZINGATIWA SANA NA MAFUNDISHO HUTOLEWA KWA WAPENDANAO ISIPO KUA SWALA LA KUPATA UZAO HILO NI LA MUNGU
KUMBUKA : NDOA YEYOTE YA KIKRISTO
Ndoa ya kikristo haifungwi kama mmoja wenu upande wa mwanaume au mwanamke ( mmoja kati yenu) amegundulika na changamoto nzito za kiafya baada ya tafiti za kitabibu kama UKIMWI AU UHANITHI AU USHOGA AU USAGAJI
Kwa upande wa mwanaume Hanithi au kwa upande wa mwanamke kichongeo hakipo kwa mantiki hiyo hawezi kutimiza fumbo la sakrament ya ndoa kwa vitendo vitakatifu
Huyo aliyefungisha ndoa ya aina hiyo nakusema hadi kifo basi hakua anajua alitendalo anapaswa kushitakiwa labda ukute tuu jamaa alianza tatizo la kutosimamisha akiwa teyari ndani ya ndoa ila kama alitoka nalo huko hiyo ndoa ni BATILI KIKRISTO
HIYO NDOA KIKRISTO NI BATILI NA INAVUNJIKA AKAE NA WATUMISHI VIZURI WANAIVUNJA NA KUFUTA AGANO HILO , WAKISHINDWA SERIKALI INAIVUNJA
UONGOAmini hivo we ktk makuzi yake kama kitovu kiliangukia ktk mboo yke abadani haitaweza simama isipokua mama yake ndio tiba ya mwisho
Napiga chini huyo mwanamkeKuna mfanyakazi wa serikali alikuja mkoani kwetu, akadanganyiwa binti Mwenye kichaa. Kanisani walikuwa wanafahamu vizuri na pastor anafahamu kuwa huyo binti ana tatizo la afya ya akili na kila baada ya miezi mitatu huwa anaenda clinic ya vichaa pale Lutindi hospitalini.
Mwanaume akafungishwa ndoa na baada ya miezi 3 dawa anazotumia binti kwa Siri zikaisha, akanza kuonyesha dalili ya ukichaa. Ndipo mwanaume akawajuza wasimamizi wa ndoa, jibu alilipewa ni hili: NDIYO ALIVYO TOKA UTOTONI, MPELEKE HOSPITALINI ATAPATA NAFUU.
jamaa akataka ndoa ivunjwe akaambiwa ndoa ya Kanisani huwa haivunjwi kwa sababu ni Agano.
Je, mwanaume angepaswa kuchukua uamuzi gani?
Haya mje sasa
Naona kumekucha
Haya MALALAMIKO nimeyapata Kwa dada alieolewa miezi 6 iliopita, kaolewa huko Kwa walokole
Kisa kinaenda hivi
Mlokole: Money penny me naumia Sana, huwezi amini tangu tuoane hatujawahi tembea pamoja kama MKE na mume
Money penny: Nini mbaya mami??
Mlokole: Mume hasimamishi nanii yake
Money penny: Kivipi?
Mlokole: unajua Sisi kabla hamjaolewa hairuhusiwi kuzini wala kujuana sehemu zenu za siri, nikavumilia na kutii maagizo ya kanisa, lakini tulipoongea Tu yupo honey moon nikajuà mwanaume hasimamishi, sijui nafanyaje na huu NI mwezi wa 6
Money penny: Umeenda kwa Mchungaji au wasimamizi WA ndoa wakasemaje?
Mlokole: wote wanasema ndoa haivunjwi kwasababu mwanaume hasimamishi kitakachovunja ndoa NI kifo tu na Mungu wenyewe Sisi haturuhusiwi
Sasa nifanyaje?
Msaidieni binti WA watu afanyaje
Aliolewa bikra!!?....Sasa afanyaje dada WA watu jaman
Sawa Sina haha yakubisgana na ww uliza watu wazimaUONGO
Mimi mwenyewe mtu mzima....Sawa Sina haha yakubisgana na ww uliza watu wazima
Sawa kama mtu mzm unaweza²Mimi mwenyewe mtu mzima....
SauwaYap, agano linawezwa vunjwa very clear. Kama wakati anaoa alijua anakutana na mtu sane na baadae akaja kutambua aliyemuoa ana shida kiakili ana haki ya kumuacha. Kiserikali unatafuta mwanasheria na mnaachana hivyo hivyo.
Kuna scenario moja mchungaji wa kanisa fulani la kiroho (jina kapuni) yeye alioa na mke wake akamzalia kijana wa kiume lakini baada ya miaka kama 10 yule mwanamke alichanganyikiwa ile ya kutojielewa kabisa. Mchungaji alivumilia kisha akaamua kumuacha mke wake na kumuoa mke mwingine . Mke wake wa kwanza alichanganyikiwa totally.
Sija'justify' kumuacha mwanamke kwakuwa aliwahi fanya mchungaji na wala kufanya kwa mchungaji haihibitishi kama hilo jambo ni haki kidini au la. Ila kisheria una'state' facts na unamuacha yule mke mazima
DuCopulation ni moja kati ya vigezo vinavyoitambua ndoa. Kama mwanamke anaona mumewe hasimamishiPenis[\SPOILER] na anakosa tendo la ndoa ana haki ya kuachna naye
MWAMBIE AINGIZE KAMA UTAMBI
sasa ni muhimu kwenye hospitali,umtafute urologist mzuri amchunguze kujua kama huko kutosimamisha ni congenital or induced,basi baada ya hapo ndipo huyo dada na mwenza wake watatafuta ufumbuziHaya mje sasa
Naona kumekucha
Haya MALALAMIKO nimeyapata Kwa dada alieolewa miezi 6 iliopita, kaolewa huko Kwa walokole
Kisa kinaenda hivi
Mlokole: Money penny me naumia Sana, huwezi amini tangu tuoane hatujawahi tembea pamoja kama MKE na mume
Money penny: Nini mbaya mami??
Mlokole: Mume hasimamishi nanii yake
Money penny: Kivipi?
Mlokole: unajua Sisi kabla hamjaolewa hairuhusiwi kuzini wala kujuana sehemu zenu za siri, nikavumilia na kutii maagizo ya kanisa, lakini tulipoongea Tu yupo honey moon nikajuà mwanaume hasimamishi, sijui nafanyaje na huu NI mwezi wa 6
Money penny: Umeenda kwa Mchungaji au wasimamizi WA ndoa wakasemaje?
Mlokole: wote wanasema ndoa haivunjwi kwasababu mwanaume hasimamishi kitakachovunja ndoa NI kifo tu na Mungu wenyewe Sisi haturuhusiwi
Sasa nifanyaje?
Msaidieni binti WA watu afanyaje
washatoka hukosasa ni muhimu kwenye hospitali,umtafute urologist mzuri amchunguze kujua kama huko kutosimamisha ni congenital or induced,basi baada ya hapo ndipo huyo dada na mwenza wake watatafuta ufumbuzi
we unaonaje?Kwani huyo hakuwa serious?