Mume wangu hataki msamaha wangu

Mume wangu hataki msamaha wangu

Naogopa Sana

Iko hivi Jana tulikua namaongezi na mzee sebulen mpaka saa 6 usiku sababu toka nimetoka nyumban kujifungua ni kama ananikwepa hivi.

Akitoka kazini anipita uwanjan kwenye mazoez mpaka saa 3 usiku akirudi anakaa seblen anaangalia mpira mpaka saa 7 ndio anakuja kulala na gafla ukija seblen unamkuta anachat na simu Sasa Jana nikaamua kumuuliza.

Tukiwa katika maongezi akapigiwa simu hakupokea ikarudia tena akaikata simu ikiwa vibration, Nikamwambia mbona hiyo simu unaikata? Nani anapiga akadai achana na simu bahati mbaya nikampokonya simu akaja juu achana na simu yangu akaninyonga mkono nikamng'ata mkono.

Uwiiii hapo ndio nilipoamsha mashetani sababu alinikimbiza anipige na rungu nikamtoroka nikajifungia chumbani namuomba msamaha hataki kunisikiliza.

Leo nimeamka namuomba msamaha hataki nifanyeje jamani.
Wasiwas wangu anaweza niua maana ana hasira Sana alafu chumban Kuna rungu na sime
Kwann ulifikia hatua yakupokonya simu? Na kwann umng'ate? Nionavyo ni kama mmechokana maana iyo style yakunyang'anyana simu kwa nguvu sijakuelewa!!!!! Na kama wewe ndo ulimpa hasira ni jukumu lako kumtuliza..... And usipende kubomoa nyumba yako kwa mikono yako mwenyewe mami mwanaume hachungwi" na unapoona kama penzi linaelekea kupotea tumia muda zaidi kutafakari ni nini tatizo na kama unaweza solve ila usiongeze tatizo!!!! Sasa hapo mlikuwa vizuri shida ikawa simu ukaona uwongeze tatizo na limekuwa tatizo sasa now upo wataka ushauri serious??? Mwanamke achoki anapokuwa anajenga nyumba yake na haijalishi atatumia muda gani kuijenga, usiwe mwanamke wa mjini wa kuiga iga mambo ona sasa yanakushinda ili mwanaume akuheshimu unapaswa kujiamini na hata kama anafanya baya juu yako trust me utajua tu bila kutumia izo effots na yeye atajutia makosa yake ila mkienda ivyo na sisi wanaume mnakosea....!!!! Sasa ayo mapanga na marungu ndo uyatupe na usichoke kuomba samahani then muulize taratibu kama unaona kuna mabadiliko ili ujue shida ni nini mami
 
Naogopa Sana

Iko hivi Jana tulikua namaongezi na mzee sebulen mpaka saa 6 usiku sababu toka nimetoka nyumban kujifungua ni kama ananikwepa hivi.

Akitoka kazini anipita uwanjan kwenye mazoez mpaka saa 3 usiku akirudi anakaa seblen anaangalia mpira mpaka saa 7 ndio anakuja kulala na gafla ukija seblen unamkuta anachat na simu Sasa Jana nikaamua kumuuliza.

Tukiwa katika maongezi akapigiwa simu hakupokea ikarudia tena akaikata simu ikiwa vibration, Nikamwambia mbona hiyo simu unaikata? Nani anapiga akadai achana na simu bahati mbaya nikampokonya simu akaja juu achana na simu yangu akaninyonga mkono nikamng'ata mkono.

Uwiiii hapo ndio nilipoamsha mashetani sababu alinikimbiza anipige na rungu nikamtoroka nikajifungia chumbani namuomba msamaha hataki kunisikiliza.

Leo nimeamka namuomba msamaha hataki nifanyeje jamani.
Wasiwas wangu anaweza niua maana ana hasira Sana alafu chumban Kuna rungu na sime
Tatizo ni huyo mtoto uliyezaa amefanana na jamaa ambaye ulikuwa unachepuka nae,na mumeo alikuwa anahisi jamaa kuchepuka na wewe
 
Pole kwa hayo.. nilipoona uzi wako nikakumbuka ulikuwa na threads nyingi nyuma za drama ya mapenzi na uhusiano miaka ya nyuma.

Ila hii ya kwenda kwenu mkijifungua ni kosa kubwa.. muwe mnaleta Mama zenu au ndugu wa kike mtu mzima wakae nanyi makwenu kwa muda fulani.

Kuhusu msamaha kwani yeye hajakukosea.. unaogopa kuachwa!!!
Sali.
 
Naogopa Sana

Iko hivi Jana tulikua namaongezi na mzee sebulen mpaka saa 6 usiku sababu toka nimetoka nyumban kujifungua ni kama ananikwepa hivi.

Akitoka kazini anipita uwanjan kwenye mazoez mpaka saa 3 usiku akirudi anakaa seblen anaangalia mpira mpaka saa 7 ndio anakuja kulala na gafla ukija seblen unamkuta anachat na simu Sasa Jana nikaamua kumuuliza.

Tukiwa katika maongezi akapigiwa simu hakupokea ikarudia tena akaikata simu ikiwa vibration, Nikamwambia mbona hiyo simu unaikata? Nani anapiga akadai achana na simu bahati mbaya nikampokonya simu akaja juu achana na simu yangu akaninyonga mkono nikamng'ata mkono.

Uwiiii hapo ndio nilipoamsha mashetani sababu alinikimbiza anipige na rungu nikamtoroka nikajifungia chumbani namuomba msamaha hataki kunisikiliza.

Leo nimeamka namuomba msamaha hataki nifanyeje jamani.
Wasiwas wangu anaweza niua maana ana hasira Sana alafu chumban Kuna rungu na sime
Mumeo ni Dracula, nenda kwa wazee wake fasta ukajisalimishe
 
Ni kweli kwamba kuna muda unatakiwa kujishusha, lkn hii hapana, Msamaha umemwomba kwa kosa lipi?

Unatakiwa kukomaa na kumweleza wazi kuwa unaona mabadiliko katika mahusiano yenu, usikubali kuwa kondoo wa Kafarq, kosa analo na unatakiwa wewe ndiye wa kuyanusu hayo mahusiano.

Ukilemaa umepoteza huyu jamaa, wanawake wa nje wanatumia weakness zenu kumiliki waume zenu. KOMAAA USIJISHUSHE KIFALA!!
Asijishushe kwani simu ya mtu si ni private! Baada ya kukaa mda mdrefu kwenye mahusiano moja ya vitu ambavyo nimejifunza kutojishughulisha navyo ni simu ya mpenzi wangu.

Hamna hasara yoyote niliopata tokea nimeamua kuipotezea! Simu ya mpenz inaumizaga sana hasa ukikuta anatongozwa tongozwa na watu. So niliamua kwa akili yangu kila mpenzi mpya sitamuwekea mazingira ya kugusa simu yangu.
 
Kuna siku mlilala njaa? Kuna siku alishindwa kutimiza mahitaji ya home? Achana na simu
Hv kwanini mnapenda kuongelea habari za mahitaji na chakula kwenye mada za usaliti na mapenzi?.

Kwani mke kwao alikua hali?..

Mke hajafata chakula kwako kafata mapenzi...usaliti ni mapenzi?.
 
Kwanini aondoke bila ruhusa ya mumewe,hawezi kuondoka na akiondoka kienyeji mwanaume anaweza kusema kuwa mke katoroka

Msamaha ni lazima aombe,maana yeye ndie aliyepokonya simu ya mumewe

Halafu ndoa si malumbano,usione ndoa zinadumu,bali bila mmoja kujishusha ndani ya nyumba inakuwa shida


Ndoa si jambo jepesi kama mnavyofikiri
Uko vizuri mdada! We una kichwa chepesi hadi raha
 
Hv kwanini mnapenda kuongelea habari za mahitaji na chakula kwenye mada za usaliti na mapenzi?.

Kwani mke kwao alikua hali?..

Mke hajafata chakula kwako kafata mapenzi...usaliti ni mapenzi?.
Usaliti ni upi hapo? Mbona sijaona ishu ya usaliti bali mapepe ya mwanamke tu
 
Pole kwa hayo.. nilipoona uzi wako nikakumbuka ulikuwa na threads nyingi nyuma za drama ya mapenzi na uhusiano miaka ya nyuma.

Ila hii ya kwenda kwenu mkijifungua ni kosa kubwa.. muwe mnaleta Mama zenu au ndugu wa kike mtu mzima wakae nanyi makwenu kwa muda fulani.

Kuhusu msamaha kwani yeye hajakukosea.. unaogopa kuachwa!!!
Sali.
Thank you
Huwa sielewi mtu kwenda kujifungulia nyumbani kwao
 
Back
Top Bottom