Ahsante dear. Ila nakushauri endelea kuhudhuria ili Mungu azidishe ulinzi katika ndoa yako nawe pia ukuze imani yako kwa kulijua neno.
Siku zote nyumbani mwa Bwana ni pazuri kama nini!
Nakutakia baraka za Mungu pamoja na familia yako.
Stay blessed ma sister!
mimi nimeolewa miaka mingi iliyopita nimeishi kwa amani na upendo na mume wangu,pia mungu katujalia watoto na mali lukuki, kwa kifupi sina shida.ila sasa matatizo yameingia ndani ya nyumba.
huu ni mwaka wa nne mume hawezi ku make love na mimi ila kukuta na msg za madem nakuta,moyoni najiuliza hivi hawa nao anatia nao story tu?nilivumilia sana nikaanza kutembea nje,wa kwanza mwanachuo mwenzangu yaani upuuzi mtupu mapenzi hamfikii hata robo mume wangu,wa pili mfanyakazi mwenzangu nae ndo kabisaa akicome anajipiga kichwa then analia kama mbuzi hee:frusty: mwisho nikaamua nitulie tu home.
mwaka mmoja nyuma nikabuni kamtindo ka kujiridhisha mwenyewe nikaona raha ajabu mpaka miezi minne nyuma nikambana mume akakubali NJE AKIENDA ANAPIGA MZIGO KAMA KAWA AKIJA KWANGU ANASHINDWA!!!!! jamani wana jf wenzangu nisaidieni mwanamke wake kamloga au mimi ndio nina matatizo? na kama ni mm mbona wale watu walipiga mzigo kama kawa?? na mbona akiwa anataka kufanya mapenz jogoo anawika akinigusa tu inasinyaa jamani duniani kuna mambo na mateso ya kila aina
kuna mtu kanishauri niende kwa mganga mwanamke wake wa nje kamloga.niende?kuna mtu tatizo kama hili lishampata?nifarijini na mnishauri mwenzenu nateseka sana.
Ahsante dear. Ila nakushauri endelea kuhudhuria ili Mungu azidishe ulinzi katika ndoa yako nawe pia ukuze imani yako kwa kulijua neno.
Siku zote nyumbani mwa Bwana ni pazuri kama nini!
Nakutakia baraka za Mungu pamoja na familia yako.
Stay blessed ma sister!
Thank for the feedbak. Sasa yule meeeeeh aliyekuwa akilia kama mbuzi wakati wa shughuli ukimuona unacheka au unafanyaje?
ungebadilisha hata jina lako coz Gaga kwa kweli sio jin azuri ukizingatia yanayofanywa na yule mwanamuziki,mkaribishe Mungu maishani mwako even through nick names,,congrats and stay blessed,usirudie tena kufanya uliyoyafanya chuo,kazini na nyumbani kipindi cha matatizo.....
Embu nipe mauzoefu yako wewe shantel
Thank for the feedbak. Sasa yule meeeeeh aliyekuwa akilia kama mbuzi wakati wa shughuli ukimuona unacheka au unafanyaje?
Labda alihisi atamuumiza mkeweRafiki yangu anilinihadhihia kwamba mke alipopata mimba jogoo aligoma kuwika na hamu ikawa imekwisha kwa wife hata alazimishe vipi. Kwa nje akigonga fresh hadi mtoto alipozaliwa akaruida kawaida.