Mume wangu mtarajiwa ni mwanaume katili

Mume wangu mtarajiwa ni mwanaume katili

Status
Not open for further replies.
Gily njoo umshauri rafiki ako huku
what kind friend say so cold words to his friends? tena kanitolea maneno Machafu bila hata ugomvi naamka usingizin nakuta maneno sumu kuwa namdanganya na pesa 😔 which I didn't do

nimeumia sana moyoni kuwa rafiki ambae si wa kweli kichwan anawaz nataka kulala nae 😔 after all the fun and nice talking

it's very sad Katkit ila poa tu

rafiki yake ungepasw kumtag ni MonsterEnergy
friend dont insult friends 🙂
Screenshot_20230530_180858_Google.jpg
 
what kind friend say so cold words to his friends? tena kanitolea maneno Macha funny bila hata ugomvi naamka usingizin nakuta maneno sumu juwa namdanganya na pesa 😔 which I didn't do

nimeumia sana moyoni kuwa rafiki ambae si wa kweli kichwan anawaz nataka kulala nae 😔 after all the fun and nice talking

it's very sad Katkit ila poa tu

rafiki yake ungepasw kumtag ni MonsterEnergy
friend dont insult friends 🙂
View attachment 2657865
Gily niaje!tuulize me na mdogo wangu Half american ndio tunaujua moto wake🤣🤣🤣
 
Nakuheshimu.
Halafu kuna mtu nilikua namuheshimu ila kanishangaza anaongea kimafumbo eti mim ndo wewe.
Nahisi na yeye ndo wale wale.makaka poa wa humu
Kwa ule uandishi wako umenitisha sana, Sio rahisi kwa mwanamke mnyekevu mbele za mungu na jamii yake pia hawezi tumia kauli kama zile...Namashaka sana kama sio wakiume wewe basi utakua umetumia kilevi sio siri yani maandiko yako yana ukakasi mwingi sana kwa Kweli...Lala salama na pole kwa yaliyo kukuta...
 
Shemeji wa miezi miwili nae shemeji bhana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]anatafuta mlezi wa twins wasogee. ......mi niliongea humu nikaonekana hater.....hebu amtaje tu huyo mkora[emoji16]

Kagoma kumtaja katuchukia wenzio huku [emoji23][emoji23][emoji23] ila nimeogopa dada sijui na mimi nitatoboa na wanaume zetu wa jf
 
what kind friend say so cold words to his friends? tena kanitolea maneno Macha funny bila hata ugomvi naamka usingizin nakuta maneno sumu juwa namdanganya na pesa 😔 which I didn't do

nimeumia sana moyoni kuwa rafiki ambae si wa kweli kichwan anawaz nataka kulala nae 😔 after all the fun and nice talking

it's very sad Katkit ila poa tu

rafiki yake ungepasw kumtag ni MonsterEnergy
friend dont insult friends 🙂
View attachment 2657865
tatizo wewe unapenda violence😂
 
Kagoma kumtaja katuchukia wenzio huku [emoji23][emoji23][emoji23] ila nimeogopa dada sijui na mimi nitatoboa na wanaume zetu wa jf
Kikubwa umakini tu, na kujipa muda wa kumjua vizuri,Kuna wakora humu,lkn Kuna wema pia.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom