Mume wangu mtarajiwa ni mwanaume katili

Status
Not open for further replies.
Mkuu Gily umeongea kwa uchungu sana aisee. Pole sana ndugu yangu.
nakumyw maji ya baridi hapa
kuna watu wanajifanya walokole ila matusi makubwa yamejaa midomoni mwao

Namshukuru Mungu sijui kutuka.😀 huyu MonsterEnergy ananitukana sana I wonder does he kiss Jesus with that mouth. Iko siku atalipia matusi yake.
 
Mbona alisha kusamehe mdaa sana, Wewe na roho yako tu unajistukia ila acha ujinga wa kutusi watu au kipiliza kiwango cha utani...

Niliongea na yeye Pm akaelewa fresh

Msaidie kwa hili analopitia huenda anapitia magumu kweli..Mpe ushauri wa mawazo sio lazima pesa... Prezzii prezziiiii nakukubali sana mangi 🤣🤣🤣
 
Mimi na lugha chafu
 
Utani unapitiliza wakati mwingine jiangalie wewe usijisahau ni president...What character are you made in peoples mind of how your think of it....
Unaniandama sana nyum ya keyboard kama unajiweza tukutane tuzipige. Unanifanyia personal attack nyingi bila sababu ya msingi

sijawahi kumtania mtu yeyote ukapitiliza. Kuanzia sasa sitaki urafiki na wewe wala huyo demu wako. Maana mambo madogo mnayafanya yawe makubwa..

Nawatakia kila la kheri.
 
Halafu nilijua tu wale watesi wangu midume yenye ID za kike team kidney na PISI KALI zoote lazima wanishambulie.Naona leo mme unleash ID zenu zoote kunishambulia.Nawazoom tu shame on you[emoji1787]
Hivi kwanini nyie wanaume mtumiao Ids za kike mwisho wake mtaleta vitu vyenye elements za ushoga?

Mnakua mnawashwa washwa pia au ni hizo Ids zinawashawishi kupumuliwa?
 

Asee dada we ni mchaga wa wapi?
 
Kama ni kweli, hakuna mtu hapo. Utajuta baadae. Ndoa zipo tu na si lazima.Huyo atakutoa roho siku.
 
Amina dear🙏


Kama hii habari yako ni ya kweli basi achilia mbali anavyoreact kwenye mambo mazito jua tuu umepata mume bora

Unachotakiwa kufanya ni kumsaidia kuendesha familia ili hiyo tabia yake uliyoiona anapokasirika isitokee tena. Vinginevyo hata wewe utapata viboko tuu hamna namna😅😅😅
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…