Mume wangu mtarajiwa ni mwanaume katili

Mume wangu mtarajiwa ni mwanaume katili

Status
Not open for further replies.
Kama hii habari yako ni ya kweli basi achilia mbali anavyoreact kwenye mambo mazito jua tuu umepata mume bora

Unachotakiwa kufanya ni kumsaidia kuendesha familia ili hiyo tabia yake uliyoiona anapokasirika isitokee tena. Vinginevyo hata wewe utapata viboko tuu hamna namna😅😅😅
Kwa vile nampenda nitajitahidi kufanya ulivyoshauri ila hapo kwenye viboko acha nisipawaze sana mana kibinadamu najua lazima kuna siku nitamkwaza
 
Nadhani mnaelewa sasa kipi kilichopo nyuma ya katuni,msiruhusu watoto wenu kuangalia katuni Kuna ushetani mwingi sana ikiwemo ushoga hawa mbwa wameweka.
Block channel zote za katuni Kama unakipenda kizazi chako au wadownlodie katuni zifaazo kwenye flash.
Katuni nyingi zimebeba uharibifu mfano spider man, superman,nk
Umeongea kitu cha muhimu sana mkuu.
Wanalazimisha hii laana kwa watoto wetu kwa nguvu zote.
Katuni salama ni zile za zamani tu.
 
Juzi tu ulitoka kufanya mapambio. Miksa kumchinjia mwanangu baharini... Damu zote zikachanganyika na maji so hakuna USHAHIDI.
Leo hii umerudi? . Clepatina mapenzi ya Kila kitu kuweka mitandaoni sio mapenzi
Kweli mkuu nimekusikia.
Mapenzi yakuanika mtandaoni sitarudia tena🙏🙏
 
Mwanao ukiona dalili ovu kama hz usichukulie poa,piga yani piga haswa, tena piga....hata biblia imesema usimnyime mapigo,uzungu ndo una harbu watoto,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzuri wake huyo mello hatujawahi shindwana na ananikubalii balaa, usisahau na babee wangu modes.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwaka waangu huu.
😂😂😂😬😃😆🤣
 
Mwanao ukiona dalili ovu kama hz usichukulie poa,piga yani piga haswa, tena piga....hata biblia imesema usimnyime mapigo,uzungu ndo una harbu watoto,
Sawa mkuu ntatafuta kafimbo.🙏
Mungu atusaidie kidume chetu kisiharibike🙏
 
Wengi humu midume inajiita majina ya kike.
Honestly uko sahihi mkuu.
Na kama.mtu anataka kuijua midume jike ya hapa afatilie vizuri huu uzi wangu kwa kutulia.
🤣😆😃😬😂
 
Bila shaka John Bravo ndio aliyemponza dogo.View attachment 2657907

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Huyo huyo mkuu🙏

Hii ni moja ya katuni za kishetani.
Huyu baunsa huwa anabong'oa halafu anatwerk😭😭.

Wanalazimisha watoto wetu waone ushoga ni kitu cha kawaida.😭😭.

Mim siruhusu tena watoto kucheck cartoon.

Nimewadaunlodia katuni zile za kizamani ambazo hazijanajisiwa na mambo ya ushoga na wanafurahi tu
 
Hivi kwanini nyie wanaume mtumiao Ids za kike mwisho wake mtaleta vitu vyenye elements za ushoga?

Mnakua mnawashwa washwa pia au ni hizo Ids zinawashawishi kupumuliwa?
Hata wewe pia😂😬😃😆🤣.

Poleni sana kaka zangu wenye ndoto za kupata wake humu?

Mungu awafanyie wepesi.
🙏

Kwako dream 'QUEEN" sinaga ujasiri wa kutamka uliyoyatamka ila suluhisho ni moja NAMUOMBA MUNGU AUE MACHOKO WOTE NA KAMA MIMI CLEPATINA NI MMOJA WAO NISIFIKE JIONI katika Jina la Yesu ninakuomba Mungu wa kweli,Mungu wa ishara na miujiza AMEN
 
Zile ni roho za mashetani kuwaingia watoto thus watoto uweweseka usiku
Tushazuia watoto wasitizame TV.
Ni flash za carton za zamani tu mana ukizembea unaweza shangaa mtoto kawa upinde hivi hivi Mungu tusaidie sisi na.vzazi vyetu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom