Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu wimbo una uhusiano gani na huo mtungo wako wa insha??Kwako Yesu nasimama
Ndio mwamba ni salama,
Ndio mwamba ni salama🙏.
Huu muda wa kusoma hii essay umeupata wapi?Huo muda wa kuandika hizo ESSAY mnaupata wapi?
Nimescrow tu mkuu,hata sijasoma.Huu muda wa kusoma hii essay umeupata wapi?
Subiria kusimuliwaHuu muda wa kusoma hii essay umeupata wapi?
Kwa upande wangu nimesoma mwanzo mwisho.Subiria kusimuliwa
Nashukuru wew umeshamshtukia. Wapo group akiwemo Gily, IamBrianLeeSnr na yule wa uzi wa kustaafu wote wapo humu strategicallyHuyu yupo jf kimkakati...mtanielewa baadae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi kwanini nyie wanaume mtumiao Ids za kike mwisho wake mtaleta vitu vyenye elements za ushoga?
Mnakua mnawashwa washwa pia au ni hizo Ids zinawashawishi kupumuliwa?
Anasoma ndio.Eeeeh shoga yangu nimeishiwa pozi!hivi si aliesema ni member Sasa si atasoma huu Uzi?🙆🙆🙆
Kuna kitu kimenichekesha sana kwenye hii comment yako mkuu🤣🤣🤣🤣🤣Nashukuru wew umeshamshtukia. Wapo group akiwemo Gily, IamBrianLeeSnr na yule wa uzi wa kustaafu wote wapo humu strategically
Mchango mzuri mkuu ila hukuwa na haja yakutukana mkuu.Huyo ndio mwanaume halisi haijalishi ulokole,unalea watoto wako kisengesenge eti huwachapi hakuna baba mwenye utimamu atavungia upumbavu,ndio maana biblia inasema matoto mapumbavu yanakuaga mzigo wa mama
Wewe dada hunaga mambo mengi unanivutia asee
Wengi humu ni majoblessHuo muda wa kuandika hizo ESSAY mnaupata wapi?
Wengi wanaoni attack humu nawapuuza kwa vile ni wale niliowasema juzi kwenye uzi wangu wa wanaume wenye ID za kike.So naelewa wana hasira na mimi na wanachofanya ni wanajaribu kuninywesha nilicho wanyeshwa.Gusa unase
Nitajaribu kufanya hivyo dear.🙏kaaa na huyo pacha wake mwelekeze aache kujilinganisha na mwenzie mwenye makosa hapo ni huyo pacha wake mana ndo kamchochea kwa kumlinganisha nae na pia wawe na mipaka kwa kila mmoja hata kama ni mapacha lazima waheshimiane.:.
kuhusu huyo bwana teh lolote likiongelewa wakati wa hasira basi linaamanishwa kuwa makini na mtu wa hivo
Sikutetegemea unaweza kufanya huu utoto bila kupata ruhusa yangu.Mbona alisha kusamehe mdaa sana, Wewe na roho yako tu unajistukia ila acha ujinga wa kutusi watu au kipiliza kiwango cha utani...
Niliongea na yeye Pm akaelewa fresh
View attachment 2657901View attachment 2657902
Msaidie kwa hili analopitia huenda anapitia magumu kweli..Mpe ushauri wa mawazo sio lazima pesa... Prezzii prezziiiii nakukubali sana mangi 🤣🤣🤣