Kwa vile nampenda nitajitahidi kufanya ulivyoshauri ila hapo kwenye viboko acha nisipawaze sana mana kibinadamu najua lazima kuna siku nitamkwazaKama hii habari yako ni ya kweli basi achilia mbali anavyoreact kwenye mambo mazito jua tuu umepata mume bora
Unachotakiwa kufanya ni kumsaidia kuendesha familia ili hiyo tabia yake uliyoiona anapokasirika isitokee tena. Vinginevyo hata wewe utapata viboko tuu hamna namnaπ π π
Umeongea kitu cha muhimu sana mkuu.Nadhani mnaelewa sasa kipi kilichopo nyuma ya katuni,msiruhusu watoto wenu kuangalia katuni Kuna ushetani mwingi sana ikiwemo ushoga hawa mbwa wameweka.
Block channel zote za katuni Kama unakipenda kizazi chako au wadownlodie katuni zifaazo kwenye flash.
Katuni nyingi zimebeba uharibifu mfano spider man, superman,nk
Kwa hicho kipigo lazima afe tu.Amefariki
Kweli mkuu nimekusikia.Juzi tu ulitoka kufanya mapambio. Miksa kumchinjia mwanangu baharini... Damu zote zikachanganyika na maji so hakuna USHAHIDI.
Leo hii umerudi? . Clepatina mapenzi ya Kila kitu kuweka mitandaoni sio mapenzi
100%Huyu ni muchumba halali wa Shem ake Countrywide ,,achana na mzungu kichaa yule
100%
Zile ni roho za mashetani kuwaingia watoto thus watoto uweweseka usikuUmeongea kitu cha muhimu sana mkuu.
Wanalazimisha hii laana kwa watoto wetu kwa nguvu zote.
Katuni salama ni zile za zamani tu.
Huyo huyo mkuuπBila shaka John Bravo ndio aliyemponza dogo.View attachment 2657907
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Hata wewe piaππ¬πππ€£.Hivi kwanini nyie wanaume mtumiao Ids za kike mwisho wake mtaleta vitu vyenye elements za ushoga?
Mnakua mnawashwa washwa pia au ni hizo Ids zinawashawishi kupumuliwa?
Nguvu ya umma hii, tukiachana tutachambwa sana, ingia whatsapp nikupigie video call nikuonyeshe jambo flan[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji8]
Tushazuia watoto wasitizame TV.Zile ni roho za mashetani kuwaingia watoto thus watoto uweweseka usiku