Mume wangu mtarajiwa ni mwanaume katili

Status
Not open for further replies.
Ni mmoja tu mkuu
 
Huyo huyo, anatuona humu wote madundula?
Mme umtoe jf, then umwanzishie uzi kama huu?
Hayuko siriaz adanganye walemavu wa akili

Mod’s siku wakiunganisha I’d kutakuwa na mvurugano humu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]

cocastic wera yuu my uduguu kijiwe nongwa kishachachuka [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Uzoefu gani sasa
 

Mbwa huyo. Sio binadamu.
 
"Huyu manzi msanii kitambo tu!

Kuna jamaa alimfungua uzi kwamba kamuelewa Clepatina ila ili ampumbaze mwamba akatangaza kupata kijeba soon pilau litalika na akaaga kbs jf hatarudi tena!!

Kashaona drama zake Kwa kiasi flan zimelipa akaamue kutafuta entry point ya kujirudisha kwenye platform"

Nlimskia mlevi Moja akisema hvo
 
Ina maana mwamba wa hapa jukwaani mlikuwa mnachorana tu?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…