Mume wangu mtarajiwa ni mwanaume katili

Mume wangu mtarajiwa ni mwanaume katili

Status
Not open for further replies.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kha! Mkorofi wewe

Kweli dada humu mama angewaunganisha wanaume waongo wote na ule mkataba wakawe manamba tupumue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
cocastic uduguu nimechoka kufanya assignment zako, shemeji mwenyewe bahili mkono mfupi, hebu njoo chap [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mama katuweza tunakoelekea waarabu watatupangia siku za kwenda beach kuswim tutachafua bahari
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
tutanyooka mbona!🤣
 
Naunga mkono hoja,Wapandishwe majahazi,moonson winds za mwezi October zikigeuka kuelekea ughaibuni watokomee huko.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tukianza na @Beyana-:
 
Mod’s siku wakiunganisha I’d kutakuwa na mvurugano humu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]

cocastic wera yuu my uduguu kijiwe nongwa kishachachuka [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Udugu ndo naingiaaaa sahiviii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna nn kwaniii???
 
Hajaharibika mkuu.
Na alikua hataki kufanya hicho kitendo.
Na pia siwez kuwa nimemuharibu sbb hawajakaa na mim muda mrefu.

Yes kwa kile kipigo hawez kurudia tena kwa kweli

kaaa na huyo pacha wake mwelekeze aache kujilinganisha na mwenzie mwenye makosa hapo ni huyo pacha wake mana ndo kamchochea kwa kumlinganisha nae na pia wawe na mipaka kwa kila mmoja hata kama ni mapacha lazima waheshimiane.:.

kuhusu huyo bwana teh lolote likiongelewa wakati wa hasira basi linaamanishwa kuwa makini na mtu wa hivo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom