Mume wangu, nimechoka kukusubiri

Mume wangu, nimechoka kukusubiri

Kila nionapo neno Hubby huwa nahis naitwa nn maana mpenz wang ameshalifanya Kama ndo jina langu[emoji3525]
 
Nyege zikijaa mpaka kumwagika ni hatari sana ona huyu mwanamke anavyohangaika simjui tumsaidiake midume ya JF
 
Kila la kheri.

Wanawake mjitahidi kuolewa mapema(22-25) fursa ya kuolewa ikitokea, kuna faida yake kuolewa mapema.
Kwa ufupi ktk huo umri, ndio mwanamke anakua na thaman kubwa sana, hajatoa mimba vya kutosha , hajaumizwa kwenye mahusiano sana n.k n.k ..


Sasa unakuta mdada 29--34 .... Huyu keshatembea sana wanaume... Nakama mimba alishapata sio.moja tu, keshaumizwa sana kiasi kwamba mpaka ukiwa naye anahisi ndo walewale.


Uzuri wa hawa wa makamo..ni wanajua nini wanataka + wanaelewa maisha+mahaba.



Shida ya hivi vibinti vidogo ,vinakua visumbufu na utoto na maringo ,lkn km vingejua ndo viko kwa umri maridadi,, Vingefaa sana.



the jackal
 
Kwa ufupi ktk huo umri, ndio mwanamke anakua na thaman kubwa sana, hajatoa mimba vya kutosha , hajaumizwa kwenye mahusiano sana n.k n.k ..


Sasa unakuta mdada 29--34 .... Huyu keshatembea sana wanaume... Nakama mimba alishapata sio.moja tu, keshaumizwa sana kiasi kwamba mpaka ukiwa naye anahisi ndo walewale.


Uzuri wa hawa wa makamo..ni wanajua nini wanataka + wanaelewa maisha+mahaba.



Shida ya hivi vibinti vidogo ,vinakua visumbufu na utoto na maringo ,lkn km vingejua ndo viko kwa umri maridadi,, Vingefaa sana.



the jackal
Kweli mkuu, huwa wanajisahau wanasema wale ujana kwanza kumbe wanajiharibu
 
Kwa ufupi ktk huo umri, ndio mwanamke anakua na thaman kubwa sana, hajatoa mimba vya kutosha , hajaumizwa kwenye mahusiano sana n.k n.k ..


Sasa unakuta mdada 29--34 .... Huyu keshatembea sana wanaume... Nakama mimba alishapata sio.moja tu, keshaumizwa sana kiasi kwamba mpaka ukiwa naye anahisi ndo walewale.


Uzuri wa hawa wa makamo..ni wanajua nini wanataka + wanaelewa maisha+mahaba.



Shida ya hivi vibinti vidogo ,vinakua visumbufu na utoto na maringo ,lkn km vingejua ndo viko kwa umri maridadi,, Vingefaa sana.



the jackal
Usikalili kwamba umri fulani ndio watoaji mimba sana Kuna vitoto kitaa vinachomoa mimba kama mkojo hasa wanafunzi.
 
Sikuhiz makahaba wameElimika...mbinu konki kama yule wa insta anayeish marekani anatafuta mume...😱😱😱😱
 
Back
Top Bottom