baada ya kuchoka usingle mother....Nimeona is not funny....Nahitaji mume jaman.....
08/09...Natimiza 29..Kimo f 5.5....Primary teacher...Mtoto mmoja....am blackbeauty......Mcheshi na vurugu nyinginyingi....Ha ha haaa.
Ninayemwitaji....Awe mwajiriwa...Aliyejiajiri au mfanyabiashara na mwenye uhitaji wa kuoa kweli.Umri...29...40.azidi f5.5....Anyngoz.......Akiwa anaishi...Mbeya,Iringa,morogoro...Dsm....Itakuwa kheri coz huko nauli naziwezea kipind hki cha magu.
Nina mtoto....So ukipenda ua na boga lake mpendwa.