Mume...your wife is calling you!

[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu ina maana huko kwenu nyaya za umeme mnaanikia nguo vizuri tu.

Maana naona mnakimbizana na nguzo kama wewe ndo 'mshort' kwenu.
aisee...Mwenyewe nimeogopa mkuu
 
dah any way hongera kwa uthubutu...utapata ila kama unahisi kuna mtu unampenda na ana sifa pendwa yupo eneo lako..just tell him kabla ya hawa wa mitandaoni maana hawakawii kukujua na kukukimbia then!
 
Mi nipo tayar kulea boga, maua pamoja na mizizi yake njoo kwangu blackbeauty
 
Afu nyie tatz bei yenu ipo juu zana ya umri.....wee sema kuanzia 25..... na kupanda uone PM itakavyo kuwa full.....punguza punguza asee.....hata me natafuta teacher aseee...
 
Kila anayehitaji kuolewa anataka mume mrefu. Sijui kuna siri gani hapo na sijui wafupi nyundo kama akina Harmorappa inakuaje. Kila la kheri bi dada!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] wanataka wa kuwasaidia kuanika nguo juu ya Kamba.
 
Vp dini ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…