Mumeo akiku-cheat na wewe m-cheat


Uovu unasafishwa kwa uchafu au uovu. Iko hivyo.

Ndio maana ukiua nawe unauawa.
Ukiiba únalipa kisha unafungwa .
Ukiwa mchawi unauawa

Huwezi safisha uovu pasipo kutenda uovu
 
Atakufanyia kuwa mnafiki na tapeli.
Kitendo cha imani kupotea hiyo itakufanya uwe tapeli

Alafu hii unatakiwa umwambie mapema mkiwa mnaanza
 
Uovu unasafishwa kwa uchafu au uovu. Iko hivyo.

Ndio maana ukiua nawe unauawa.
Ukiiba únalipa kisha unafungwa .
Ukiwa mchawi unauawa

Huwezi safisha uovu pasipo kutenda uovu
Hii sio tafsiri sahii..
Ukiua halaf ukamatwe ufungwe, sheria haihesabiki kama inakulipa uovu..

Kuna mambo unakosea kuyatazama ili uyaelewe.

Ndio maana ,ukiua, na mtu mwingine akakulipiza kwa kukuua wewe, bado na hawez kosa hesabiwa hatia.

Uovu haisafushwi kwa uovu. Never
 

Huu ndio uonevu sasa.
Kudadadeki
 
Ww dogo leo umeandika pumba.

Nyie wanaume wenye chembe chembe za ufeminist ndo mnakuja kuwa weak sana mwishowe na nyie mnapigwa paipu kama hao mnaowatetea.

Mwanamke ni object. Mm nikiwa na wanawake hata mia haina shida, ila mwanamke asili yake ni kuwa na mwanaume mmoja at a time.
 
😄 😄 😄
Daaaaah nimecheka sana! Sijasema akicheat nitamuacha, bali kupunguza kiwango cha imani ambayo ndiyo mapenzi yenyewe kwangu mimi.
Otherwise, no comment.
Kupunguza imani gradually kunaua mahusiano na mtu. In the end imani ita fade kabisa na kuzima mtaachana.

Bora kuzima mapema sio ku dim
 

Utakuwa na wanawake mia wasiojitambua. Ila Watibeli ukileta hizo pigo laizma utakuwa mfano kama wengine wanaofanyiwa matukio ya kushangaza.

Unamuitaje mtu object? Huo ni ubinafsi.
Wanawake wanamatatizo yao lakini hawafanyi wawe object.
 

Ni uovu gani usiosafishwa kwa uovu?
Ukifanya mabaya lazima ulipwe mabaya. Hiyo ndio kanuni.
Yaani uovu kwa uovu.
Wema kwa wema.

Unajua maana ya Haki?
 
Endelea kutamani.
Papa ameshapitisha lile tamanio lenu. Sasa yule aliyekuwa anakufumua sirini mwambie ajitokeze hadharani mambo yamejipa.
Dada yaani leo GENTAMYCINE nafumuliwa Sirini? Uko tayari kwa Vita nami na nianze kabisa Kusogeza Makombora yamgu Mipakani? Naona Umenibipu sasa Mimi nataka Nikupigie kabisa. Nasubiri jibu lako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…