Mumeo akiku-cheat na wewe m-cheat

Kwa sasa wewe sio tena TAIKON,

wewe ni muathirika wa chanjo ya corona


Na kwa post zako sikuizi, zinaony3sha akili yako ishaanza kuathirka
 
KATAA NDOA NDOA NI MAUMIVU
NDOA NI UCHAFU, NDOA NI MATESO
NDOA NI Au bhasi
😂😂😂
 
Mkuu ukiambiiwa supu ya maharage jero, achana nayo, .... ona sasa sijui umekula maharage ya wapi!
 
Sema mkuu una chamba unge kua mwanamke wewe ungekuwa mtamu sana..
 
"UWEZI KUWA MSAFI KWA MWANAUME MCHAFU"..Na tuione kwenye faili hii...
 
Hatari hii mkuu
 
Mimi takwimu ninazozijua haziruhusu kila mwanaume kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja, ndio maana nikakuambia ulete wewe takwimu yawezekana unazo nyingine ambazo sisi hatuzijui, tatizo mnapotosha sana
Haziruhusu wanaume wote, ila wachache wenye uwezo wa kufanya hivyo
 
Bora namba 7 maana baada ya hapo atapata Faida ya mazao na pia itakuwa ni gia ya kuachana mazima.
 
Mbna inafahamika wazi
Tiba ya usaliti, ni KISASIIII
ukute mwanaume ndiye kasalitiwa na hana pa kwenda kulipiza kisasi, mademu hawamtaki. Njia kuu ni kumfukuzilia mbali mwanamke msaliti ili akakutane na mwanaume asiyesalitiwa apigwe pini la maisha, akitoa adhabu kali ataipata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…