Mumewe hawezi kusimamisha tena

Mumewe hawezi kusimamisha tena

Mwanamke anakimbia kwa kukosa Hela akimbii kwa kukosa mjegeje
 
Kuvunjika kwa uume huweza KUTOKEA pale ambapo tendo la ndoa linafanywa huku mwanamke akiwa juu ya mwanaume
Soma uwele ndio ujibu...usisome kujibu. Kwa alivyoeleza yeye ameeleza Kwa Kuifahamu zaidi ya wewe ulivyoileta. Ndio amekuuliza je Kuna parts umeziruka au ndivyo ilivyoenda Moja Kwa Moja kama ulivyoihadithia!? Ungeelewa hicho ..usingemjibu hivyo....
 
Soma uwele ndio ujibu...usisome kujibu. Kwa alivyoeleza yeye ameeleza Kwa Kuifahamu zaidi ya wewe ulivyoileta. Ndio amekuuliza je Kuna parts umeziruka au ndivyo ilivyoenda Moja Kwa Moja kama ulivyoihadithia!? Ungeelewa hicho ..usingemjibu hivyo....
Sijaruka.Hata wewe unajua kuwa penis huweza kuvunjika inaposimama kwa staili hiyooo
 
Hii chai imepoa
Hakuna mwanaume wa hivyo wewe , yaani kizembe alivyoulizwa eti akakiri mwenyewe alikua kwa mchepuko ndo alipovunjikia ?
Hajaenda hospital ?,hajauliza wanaume wenzake ?
Sio kweli !
 
Nyie wazee angalieni hao chipukizi mnao wataka,litawakuta jambo,halafu uzee uzidi kuwa mbaya🤣🤣🤣 ERoni
 
Iko hivi;Kuna rafiki yangu anasema mumewe hawezi kusimamisha Tena mjegeje baada ya mshipa mmojawapo wa mjegeje kuvunjika.

Huyu mumewe alienda kwa mchepuko wake,Sasa wakati wa kunyanduana ndo mchepuko akaikalia.

Sasa alivyoikalia ndo mshipa wa mjegeje ukavunjika.
Mumewe hakusema alivyorudi home.Sasa si Unajua Tena mambo ya nyegeziiiii.

Sasa kila akiombwa tendo,mjegeje hausimami.
Weeee rafiki yangu kasema usinitanie mume wangu,Hali hii imeanza lini???

Akamwambia nieleze ukweli la sivyoo naondoka.

Ndo huyu bwana akajieleza kuwa nilikuwa kwa mchepuko hukoooo,wakati wa kunyanduana akaikalia,ndo akavunja mshipa wa mjegeje. Wanaenda hospitali,matibabu NI milioni 6.

Upo?

Rafiki yangu anaomba ushauri je aondokeee maana hiyo milioni 6 ya matibabu hawana.

Na bibie anasema hakwenda pale kula na kulala,yeye kafata mjegeje.

Sasa mjegeje umevunjika mshipa hukoooooo kwa mchepuko.

Tuchukue tahadhari maana utasikia ikalieeee.mwenzenu huyooooo,mjegeje haufanyi kazi,mshipa umevunjika matibabu ni 6 milioni.

Weekend njeeeema.Take care with your Mjegeje.na kubali TU vingine vikupiteeeee
Uo mshipa baada ya kukatika hautoi ata damu!
 
Ester505 soma hii ,
A fracture can also injure the urethra. The urethra is the channel in the penis that urine flows through. Common causes of penile fracture include: forceful bending of the penis during vaginal intercourse.

A penis fracture differs from other fractures in the body because the penis has no bones.
 
kupona kwake mpaka afanyiwe upasuaji,ila ina shauliwa uume unapovunjia aweke barafu afu huduma nyingine zita fuata sababu nyingine inayopelekea uume kuvunjika ni kupiga nyeto wakati utamu umezidi unaibinya kama wanawake wanavyoifinyia kwa ndani unaweza sababisha mjegeje kuvunjika,dalili za kuvunjika uume 1 maumivu makali ya uume,maumivu makali wakati wa kukojoa,uume kushindwa kusimama kabisa.jaman tuepuke ngona hatarish kama stail ya kulukia na kujipimia afu ile ya wanawake kuifinyia kwa ndani sio salama kwa mjegeje
 
Back
Top Bottom