Na hizo lenz sjui nini anazoeka uko machoni basi ndo full tafrani.sure,angepaka polite make up angependeza.Kuna watu wakipaka makeup hawapendezi hata kidogoo [emoji23][emoji23][emoji23] muna hajawahi nadhani sijui ni kwaajili anajipaka mengi mno hapendezei kabisa
N
Na hizo lenz sjui nini anazoeka uko machoni basi ndo full tafrani.sure,angepaka polite make up angependeza.
Kila week jamani ?chaaaIla ni ukweli usiojificha wadada wadangaji wengi wanakwenda sana kwa waganga....
😂😂😂😂Basi yeye anajiona kawaka loo [emoji23][emoji23][emoji23]
Na hapo unakuta kashauriwa na baba ake wa kiroho hatari Sana.Akiulizwa swali la kumbana anadai anamuachia Muncgu, Muna mtoto aliepo Moshi anaesemekana ni wako kweli ni wako, namuachia Mungu kama ni wangu wamlete, mimi nina watoto wengi, ni kweli ulimzaa yeye namuachia Mungu, mama ako mnawasiliana sijamuona tangu siku 3 baada ya kumzika mwanangu, mna ugomvi , namuachia Mungu. Mungu ameniokoa, ameniheshimisha sana sasa hivi nahojiwa BBC, nimeokoka na siongei na mama angu nimmuachia Mungu aamue. Ulokole wa kisulisuli.
Atakukula = Atakula.Ukiendekeza sana kwa waganga, lazima tu ipo siku mganga atakukula mzigo
Kila week jamani ?chaaa
Aseme tu alikuwa anaishi kwa uganga maana kila week ina maana kila siku alikuwa anakua kwenye dawaHahahaa si unajua yanaibuka machimbo mapya!
Bagamoyo pakidoda kuna Tabata
tabata nako ni shidaa...emu tupe detailsHahahaa si unajua yanaibuka machimbo mapya!
Bagamoyo pakidoda kuna Tabata
akinawa uso anakuwa na uso kama wa Tulia.Na mi makeupe yake kilo 10
akinawa uso anakuwa na uso kama wa Tulia.
Kuna Bango lake huku mbagala nilipoliona nikawa najiulza huyu Muna Esma kweli makeup kilo 4444444Na mi makeupe yake kilo 10
Acha tu, yaani anahubiri wokovu wakati mama ake analia kwa uchungu mwanae kumuona hafai, inasikitisha sana.Na hapo unakuta kashauriwa na baba ake wa kiroho hatari Sana.
Kabisa yaani ili apate amani inabidi aende kumuomba mamaha mama ayake, aende Moshi akachukue mtoto wake (kama atapewa) na asipo pewa aombe msamaha kwa mwamanae, akiri usupastaa ulimponza aliishi maisha ya kujiona family yake ni ya kiwango cha chini haimstahili, aombe radhi maisha yaende. Hii ya kujificha kwenye ulokole na kusaidia watoto yatima haiwezi kumpa amani kabisa, anajizungusha tu.Huyu dada ana shida sema anajifanya kujificha kwenye kivuli cha ulokole
Kuna Bango lake huku mbagala nilipoliona nikawa najiulza huyu Muna Esma kweli makeup kilo 4444444