Muna Love: Nilikuwa naenda kwa waganga kila wiki na marafiki zangu

Muna Love: Nilikuwa naenda kwa waganga kila wiki na marafiki zangu

Hadi binamu leo umegonga na kiingereza kusisitiza jambo, itayofuata binamu utatugongea kikorea kabisa

Ahahaahah umbea ukinoga lazima na wewe ukinogeshe kwanza[emoji23]
 
Kwa kuwa ameokoka kwa nini asibadilishe jina? Sijawah kuona walokole wana ma aka kwa kwel mmh
Hehehe ajikute tu na hilo jina ndo linampa ugali[emoji23][emoji23][emoji23]kwanza ana laana ya Peter yule mumewe. Alimfanya akatelekeza familia(kirogo kilikolea)Mwanaume akawa ndodocha Muna akawa anatembea na kalala jr anamfanyia party na kumuhonga magari
Bado machozi ya mamake,Machozi ya mke wa Seth(marehemu)maana yy ndo alikuwa anampeleka ANDUNJE LULU kwa makalumanzila
 
Hehehe ajikute tu na hilo jina ndo linampa ugali[emoji23][emoji23][emoji23]kwanza ana laana ya Peter yule mumewe. Alimfanya akatelekeza familia(kirogo kilikolea)Mwanaume akawa ndodocha Muna akawa anatembea na kalala jr anamfanyia party na kumuhonga magari
Bado machozi ya mamake,Machozi ya mke wa Seth(marehemu)maana yy ndo alikuwa anampeleka ANDUNJE LULU kwa makalumanzila
Na laana ya baba ake mkuu maana alimtorosha muhimbili akampeleka hospital za vichochoroni yeye na Kalala JR mzee wa watu akafa, huyu Muna ana mengi.
 
Hv kwanza why wanamuita kwenye interviews??ana nn hasa cha kufanya?
Asiwe anafanya interview. Huwa haeleweki. Akiitwa interview awe anasema tu namuachia Mungu, waandishi watatutaarif. Interview mpaka inaboa....Mungu this Mungu that. Mungu na shetani huwa wanasingiziwa sana
 
Hehehe dah
Kila siku nauliza hivi huko daslamu watu wore mnajuana!? Maana Leo utasikia mwijaku kesho menona. Hujakaa sawa Mina yani hata sijawahi kupata kuwasikia. Daslamu nasema hivi mbona kazi nzito.
 
Duuu aissee
Mjini pamoto sana
Hehehe ajikute tu na hilo jina ndo linampa ugali[emoji23][emoji23][emoji23]kwanza ana laana ya Peter yule mumewe. Alimfanya akatelekeza familia(kirogo kilikolea)Mwanaume akawa ndodocha Muna akawa anatembea na kalala jr anamfanyia party na kumuhonga magari
Bado machozi ya mamake,Machozi ya mke wa Seth(marehemu)maana yy ndo alikuwa anampeleka ANDUNJE LULU kwa makalumanzila
 
Hv kwanza why wanamuita kwenye interviews??ana nn hasa cha kufanya?

Cku hiz ukiwa na vijisent na umaarufu kidogo utaitwa mpka na sisimiz


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom